Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Nimepita hapo saa moja na nusu usiku, yaani dakika chache zilizopita. Askari wa Jiji na polisi jumla hawapungui 100. Magari matano yamepark upande wa baharini yameeasha taa kumulika upande wa pili wa barabara kuliko na ukuta ambao unavunjwa na tingatinga.
Eneo hili liko baada ya hospitali ya agha khan karibu na uwanja wa golf. Kulikuwepo amani na utulivu, askari wamejipanga imara na tingatinga likiendelea kubomoa huo ukuta tartiiibu, kwa uhakika. Askari wawili walikuwa bize wakiharakisha magari kupita kasi, hivyo sikuweza kupiga picha
Eneo hili liko baada ya hospitali ya agha khan karibu na uwanja wa golf. Kulikuwepo amani na utulivu, askari wamejipanga imara na tingatinga likiendelea kubomoa huo ukuta tartiiibu, kwa uhakika. Askari wawili walikuwa bize wakiharakisha magari kupita kasi, hivyo sikuweza kupiga picha