Sasa akiulizwa akaonyesha kibali halali then aruhusiwe kujenga kwenye open space mbona siwaelewi.Huu ndio wasiwasi wangu nachelea kushangilia kwani tunaweza kuishia kumlipa mabilioini jamaa cha msingi aulizwe aliyemuuzia huyu muhindi alitumia kigezo gani?