Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Hiki sio kichekesho lakini nimeona nikilete huku.
Napenda kujua ule ukoo au Jina la MBORO kama bado lipo na linaendelea kutumika na wahusika. Au wameona si vema kulitumia hasa katika mazingia ya tanzania.
Nadhani ni watu wa kimanjaro. je bado wapo wanaolitumia ?
Napenda kujua ule ukoo au Jina la MBORO kama bado lipo na linaendelea kutumika na wahusika. Au wameona si vema kulitumia hasa katika mazingia ya tanzania.
Nadhani ni watu wa kimanjaro. je bado wapo wanaolitumia ?