Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Hakuna upelelezi wa kifala hivi!Ilitakiwa wapelekwe undercover agents na sio kuwaingiza mkenge watu wasio na hatia halafu unawachukulia kama Collateral damage!Mambo ya kiupelelezi waachie wapelelezi bro, upelelezi una approaches kedekede kutegemea unataka ku - achieve objective ipi.
This is absurd!