ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,462
Habari
Si jambo rahisi kuanzisha kitu na kiweze kufanikiwa kwa urahisi urahisi tu bali unatumia nguvu za ziada kuanzisha na wakati mwingine usiweze kuona mafanikio ya papo kwa papo waweza kusubiri miaka na miaka na mwishowe unaanza kukata tamaa.
Mpendwa wangu kufanya kitu kunahitaji ujasili wa hali ya juu na kunahiitaji kujitoa kwa hali ya juu sana mpaka uweze kufanikisha lile kusudio ulilotaka kulifanya kama wewe umeamua kufanya biashara au kusoma tumia nguvu za ziada ili uweze kufanikisha azma yako uliyokusudia kwa wakati wako kwa ni mlia kivulini alitafutia juani hivyo una budi kukaza buti na kufany kile ulichoshindwa kikawezekana ndo mana nasema kuwa 'UKITHUBUTU UNAWEZA FANYA MAAMUZI SASA YALIYOSAHIHI DO IT'
THANKS
Si jambo rahisi kuanzisha kitu na kiweze kufanikiwa kwa urahisi urahisi tu bali unatumia nguvu za ziada kuanzisha na wakati mwingine usiweze kuona mafanikio ya papo kwa papo waweza kusubiri miaka na miaka na mwishowe unaanza kukata tamaa.
Mpendwa wangu kufanya kitu kunahitaji ujasili wa hali ya juu na kunahiitaji kujitoa kwa hali ya juu sana mpaka uweze kufanikisha lile kusudio ulilotaka kulifanya kama wewe umeamua kufanya biashara au kusoma tumia nguvu za ziada ili uweze kufanikisha azma yako uliyokusudia kwa wakati wako kwa ni mlia kivulini alitafutia juani hivyo una budi kukaza buti na kufany kile ulichoshindwa kikawezekana ndo mana nasema kuwa 'UKITHUBUTU UNAWEZA FANYA MAAMUZI SASA YALIYOSAHIHI DO IT'
THANKS