Ukweli Unauma
Ukweli Unauma
Hivi inakuwaje mtu hajaomba chuo flani wana mpeleka huko?
mdogo wangu kasoma CBG, wanampeleka IFM?.
NAOMBA MUONGOZO
kuna ndugu yangu amenipa username yake na pasword yake nimuangalizie matokeo nimeingia kumuangalizia katika admission status nmekuta not yet processed. hii inamaanisha nini.? na katika list ya wasiochaguliwa jina lake halipo halikadhalika katika list ya waliomiss kujaza info zao jina lake halipo. msaada please.