Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
deh deh deh, mkuu tahazari kwenye dua zako, omba ugeuzwe baskeli ya husninyo, ukiomba ugeuzwe baskeli tu mara unageuzwa baskeli la malaria sugu halaf busha la malaria sugu linaanza kuleta frikshen fosi.
ha ha ha ha ha! We kloro umepinda kweli.
Kashachelewa maana baskeli yangu ilishaharibu. Lol!