hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
Umeona eeeeh Shosti,wazito sana hawa viumbe..........waga mna visingizio vingi sana na hamna mioyo ya kuridhika,ndo maana daima mnatangatanga, kila siku ungekuwa hivi,ingekuwa vile,kule kwenye kutumwaga wametoa tena sababu lukuki............i mean, get a life, let us be!! tungewaangalia nyie hayo mngeoa in the first place?
haya bana!