Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
mnachangia ka wandawazimu au huyo dem dadaaenu nini
Pole we limekuchoma???????????????????????????? wanawake hatubabaishiki hovyo siku hizi. Msg yake inaeleweka we ulitaka mdada afanyaje
mnachangia ka wandawazimu au huyo dem dadaaenu nini
good_now you are comming,...just be strong...ukiamini kufanya kosa ni kosa lakn kosa zaidi kurudia kosa.hiyo haitowezekana mdau.
habari zenu wadau!!kuna msichana nimemwambia tuachane kwa kumtumia txt kwenye simu but cha kushangaza kakaa kimya hadi sa hz,na leo ni siku ya 3 tangu nimtumie hyo txt,tatzo ni nin,hana crdts au ndo mie nichanganye za kuambiwa pamoja na zangu?
mkuu umepiga ikulu kwa mawe, ona wahusika walivyokujia juu na nnadhani jibu umelipata. Wenzio wakichoka wanapotezea kimya kimya ili siku 'ukikwama' unarudi kukumbushia enzi. Hiyo style yako ya kibuti ni ya woga sana na haifai kutumiwa na mwanaume. Inawezekana huyo demu ulitongozewa hukumpata kwa kumuimbia wimbo kwa kinywa chao mkuu!
Jifunze ktk hilo!
Habari zenu wadau!!kuna msichana nimemwambia tuachane kwa kumtumia txt kwenye simu but cha kushangaza kakaa kimya hadi sa hz,na leo ni siku ya 3 tangu nimtumie hyo txt,tatzo ni nin,hana crdts au ndo mie nichanganye za kuambiwa pamoja na zangu?
Habari zenu wadau!!kuna msichana nimemwambia tuachane kwa kumtumia txt kwenye simu but cha kushangaza kakaa kimya hadi sa hz,na leo ni siku ya 3 tangu nimtumie hyo txt,tatzo ni nin,hana crdts au ndo mie nichanganye za kuambiwa pamoja na zangu?
wenzako siku hizi hatuachi wanawake huwa tunawaweka pending siku tukiwa na hamu tunawarudia, mwanamke haachwi utakosa hazina, mi nina mademu wangu wa tangu primary hatujagombana siku nikikutana nao nakumbushia tu loooooooooooooool!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Pole we limekuchoma???????????????????????????? wanawake hatubabaishiki hovyo siku hizi. Msg yake inaeleweka we ulitaka mdada afanyaje