Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WOW i like that' lol'Umemtext mwenyewe ili muachane_halafu unaleta mawashawasha!....anyway niko naye hapa nimemwambia atulie nipo kwa ajili yake and she promise never to go back...ahahahahaaaaaaaaaa
Mpigie umwambie akusamehe umeairisha hutaki tena muachane kwan ulikuwa unatest zali tu!yani wote wananipönda tu,cjaona hata anae nishauri!!dah,jf bwana.
kwanza ni jambo lisilo la busara na aibu kumtumia mtu msg muachane kwa nini usimweleze moja kwa moja ... na hapo baada ya kumtumia msg wewe ulitegemea ajibu nini sasa maadam wewe umeamua ?? mbona kuna vitu si vya kufikiria ni vya kuelewa ???
Basi ww vumilia tu,km ulikuwa hujui ndio ushajua siku nyingine hutarudia tena!hiyo haitowezekana mdau.
Yeah_man!...run away loveteh!teh!teh!kama kweli vile!