ThisIsIt

Member
Oct 4, 2022
31
63
Mimi kama watu wengine wengi tunaotafuta ajira serikalini, niliomba nafasi za kazi zilizotangazwa mwezi MAY.

Jambo la kushangaza ni kwamba miezi mitano inaenda kuisha bila kuitwa kwenye usaili na wakati huo nafasi zilizotangazwa mwezi August nyingine September watu wameitwa kwenye usaili tayari na wengine wameshapata placements tayari.

Juzi niliamua kuwapigia Sekretarieti ya ajira kuuliza kuhusu ucheleweshaji wao kuita watu kwenye saili na kuwapa ushauri waweke kipengele cha EXPECTED DATE ya kufanya usaili kuliko kufanya vitu kama sio professionals nilijibiwa vibaya sina hamu😩😩

Mtaani pagumu😪😩😩
 
Mimi kama watu wengine wengi tunaotafuta ajira serikalini, niliomba nafasi za kazi zilizotangazwa mwezi MAY.

Jambo la kushangaza ni kwamba miezi mitano inaenda kuisha bila kuitwa kwenye usaili na wakati huo nafasi zilizotangazwa mwezi August nyingine September watu wameitwa kwenye usaili tayari na wengine wameshapata placements tayari.

Juzi niliamua kuwapigia Sekretarieti ya ajira kuuliza kuhusu ucheleweshaji wao kuita watu kwenye saili na kuwapa ushauri waweke kipengele cha EXPECTED DATE ya kufanya usaili kuliko kufanya vitu kama sio professionals nilijibiwa vibaya sina hamu😩😩

Mtaani pagumu😪😩😩
Duh pole sana mkuu kwa majibu magumu ya PSRS
 
Mimi kama watu wengine wengi tunaotafuta ajira serikalini, niliomba nafasi za kazi zilizotangazwa mwezi MAY.

Jambo la kushangaza ni kwamba miezi mitano inaenda kuisha bila kuitwa kwenye usaili na wakati huo nafasi zilizotangazwa mwezi August nyingine September watu wameitwa kwenye usaili tayari na wengine wameshapata placements tayari.

Juzi niliamua kuwapigia Sekretarieti ya ajira kuuliza kuhusu ucheleweshaji wao kuita watu kwenye saili na kuwapa ushauri waweke kipengele cha EXPECTED DATE ya kufanya usaili kuliko kufanya vitu kama sio professionals nilijibiwa vibaya sina hamu😩😩

Mtaani pagumu😪😩😩
Kwani mkuu una uwakika ukisha itwa utapata hiyo kazi..?, then tambua pia kuitwa kwenye usahili haimaanishi kwamba ndio kupata kazi hapo kikubwa ni kumuomba mungu tu kwa kila hatua akufanyie wepesi ili siku moja muda wako ufikie kwenye kukamilisha ndoto zako basi lakini huitaji kufatilia namna hiyo zaid wataku panikisha tu hapo kutokana na majibu ulio pewa huko.
 
Kwani mkuu una uwakika ukisha itwa utapata hiyo kazi..?, then tambua pia kuitwa kwenye usahili haimaanishi kwamba ndio kupata kazi hapo kikubwa ni kumuomba mungu tu kwa kila hatua akufanyie wepesi ili siku moja muda wako ufikie kwenye kukamilisha ndoto zako basi lakini huitaji kufatilia namna hiyo zaid wataku panikisha tu hapo kutokana na majibu ulio pewa huko.
Ni Bora uitwe kuliko huo ukimya.. huyo mtao mada alichosema anamaanisha kabisa na kina umuhimu kimtindo.. But pole yake kwa kupewa Rotted words
 
Kwani mkuu una uwakika ukisha itwa utapata hiyo kazi..?, then tambua pia kuitwa kwenye usahili haimaanishi kwamba ndio kupata kazi hapo kikubwa ni kumuomba mungu tu kwa kila hatua akufanyie wepesi ili siku moja muda wako ufikie kwenye kukamilisha ndoto zako basi lakini huitaji kufatilia namna hiyo zaid wataku panikisha tu hapo kutokana na majibu ulio pewa huko.
Issue sio kupata,issue ni watoe ili watu tufanye na tuendelee na mishe zingine za life.kuyakalia hayo majina muda mrefu hivyo ndio inaleta speculations kuwa huenda wanachakachua.
 
Mimi kama watu wengine wengi tunaotafuta ajira serikalini, niliomba nafasi za kazi zilizotangazwa mwezi MAY.

Jambo la kushangaza ni kwamba miezi mitano inaenda kuisha bila kuitwa kwenye usaili na wakati huo nafasi zilizotangazwa mwezi August nyingine September watu wameitwa kwenye usaili tayari na wengine wameshapata placements tayari.

Juzi niliamua kuwapigia Sekretarieti ya ajira kuuliza kuhusu ucheleweshaji wao kuita watu kwenye saili na kuwapa ushauri waweke kipengele cha EXPECTED DATE ya kufanya usaili kuliko kufanya vitu kama sio professionals nilijibiwa vibaya sina hamu😩😩

Mtaani pagumu😪😩😩
pole mkuu
 
Kwani mkuu una uwakika ukisha itwa utapata hiyo kazi..?, then tambua pia kuitwa kwenye usahili haimaanishi kwamba ndio kupata kazi hapo kikubwa ni kumuomba mungu tu kwa kila hatua akufanyie wepesi ili siku moja muda wako ufikie kwenye kukamilisha ndoto zako basi lakini huitaji kufatilia namna hiyo zaid wataku panikisha tu hapo kutokana na majibu ulio pewa huko.
Mimi hata kama sitapata nafasi ila watapata wengine basi watoe majina, kuna haja gani ya kutangaza nafasi za kazi mapema?! Miezi mitano NAOT, HELSB, TRA na nafasi nyingine kibao bado..kama kuna upungufu wa wafanyakazi waongezewe ili mambo yaende haraka
 
Ni Bora uitwe kuliko huo ukimya.. huyo mtao mada alichosema anamaanisha kabisa na kina umuhimu kimtindo.. But pole yake kwa kupewa Rotted words
Hapo kwenye kuita watu mapema ndio pana hitaji sala sana kwa job seekers maana mara nyingi alie shiba hawez kumjua mwenye njaa kwa changamoto anazo pitia mtaani na ndomana mtoa mada amepewa majibu ya ajabu sana huko.
 
Issue sio kupata,issue ni watoe ili watu tufanye na tuendelee na mishe zingine za life.kuyakalia hayo majina muda mrefu hivyo ndio inaleta speculations kuwa huenda wanachakachua.
Issue sio kupata,issue ni watoe ili watu tufanye na tuendelee na mishe zingine za life.kuyakalia hayo majina muda mrefu hivyo ndio inaleta speculations kuwa huenda wanachakachua.
Ni kweli mkuu upo sahihi kwa upande huo pia, maana kimya kingi kina mambo mengi.
 
Mkuu yani mimi binafsi nadhani ishu sio uwingi wa hizo saili. Ishu ni kutangaza nafasi za kazi ambazo zinachukua zaidi ya nusu mwaka kuwaita watu kwenda kufanya hizo saili. Je, kuna ulazima wa kuzitangaza mapema?! Hizo ofisi mpaka zikapeleka maombi ya kuhitaji wafanyakazi maana yake kuna uhitaji sasa ofisi zimekaa miezi zaidi ya mitano hazijapelekewa wafanyakazi..inawezekanaje?!🤔💭
 
Back
Top Bottom