Tunashukuru lakini si haki: Kuitwa kwenye usaili kwa majina ya nyongeza na tume ya ajira

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,664
18,040
Kwa sasa imekuwa kama utaratibu. Kwa mfano ulio hai kuna baadhi ya waombaji wa ajira MDA's na LGA's walipewa taarifa ya kuitwa kwenye usajili tarehe 07/01/2023 na wengine wakaitwa kama majina ya nyongeza siku tano baadaye yaani tarehe 12/01/2023. Na wote hao watafanya usaili tarehe 15/01/2023.

Tunashukuru kwa sababu walioitwa baadaye ni kama walikuwa wamesahaulika kwa hiyo wakikumbukwa tunashukuru. Ni kama hatimaye wametendewa haki.

Lakini tunasema si haki kwa sababu hao walioitwa awali ana siku tano zaidi ya maandalizi kuliko hawa walioitwa baadaye maana tarehe ya usaili ni moja. Kwa kuwa tarehe ya usaili ni 15/01/2023 walioitwa awali wana siku nane (8) za kujiandaa na usaili wa kuandika (written interview) wakati walioitwa baadaye wana siku tatu (3) tu za kujiandaa na usaili huo.

Kwa hiyo hao waliopata muda mrefu wa maandalizi wana nafasi nzuri zaidi ya kufanya vizuri kwenye usaili kuliko waliopata muda mfupi wa maandalizi. Hapo ndipo tunasema si haki.

Kwa hiyo tunaomba sana tume ya ajira wajitahidi kutoa uwanja sawa kwa wasailiwa wote.
 
Je unaona ni sawa watu wawili kushindanishwa kwenye mtihani, mmoja anapewa taarifa ya mtihani mapema siku 8 kabla ya mtihani na mwingine akapewa taarifa siku 3 kabla ya mtihani?

Kijana wa hovyo sana wewe!! Na hustahili kupata kazi hii, una upumbavu mkubwa sana!! Kuna maandalizi gani unahitaji kufanya kwa jambo usilojua utaulizwa nini na vipi?? Je ndio kusema kama wote mngefaahamishwa siku tatu kabla wote msingefaulu??

Utafika kwenye usahili na malalamiko haya kichwani na utafeli!! Ukisikia kutojiamini ni hii.
Utakaa unavuja mijasho na kutoa hewa chafu na suti yako ya mchongo. Kisha utarudi nyumbani na hutawasikia tena wakiwasiliana na wewe.

Ungekuwa na maana zaidi kama ungesema siku 3 hazikutoshi kusafiri kwenda eneo la usahili. Sio habari ya maandalizi ya written interview ya kitu ambacho hujaambiwa ni nini ujiandae kuandika.
 
Hilo Sio tatizo boss kama unajua unajua tu.Tatizo ninaloona ni ajira kuwa kidogo.yaani unasaili watu 1,000 kwa nafasi 2 za kazi .haya ni matumizi mabaya ya muda na fedha.mtu anatoka mwanza anaenda DAR anatumia fedha kugombania nafasi 2.
 
Kijana wa hovyo sana wewe!! Na hustahili kupata kazi hii, una upumbavu mkubwa sana!! Kuna maandalizi gani unahitaji kufanya kwa jambo usilojua utaulizwa nini na vipi?? Je ndio kusema kama wote mngefaahamishwa siku tatu kabla wote msingefaulu??

Utafika kwenye usahili na malalamiko haya kichwani na utafeli!! Ukisikia kutojiamini ni hii.
Utakaa unavuja mijasho na kutoa hewa chafu na suti yako ya mchongo. Kisha utarudi nyumbani na hutawasikia tena wakiwasiliana na wewe.

Ungekuwa na maana zaidi kama ungesema siku 3 hazikutoshi kusafiri kwenda eneo la usahili. Sio habari ya maandalizi ya written interview ya kitu ambacho hujaambiwa ni nini ujiandae kuandika.
Pole naona umejaa matusi kwa sababu hujalelewa vizuri na wazazi wako. Si ajabu walikuwa wanakutukana na ukajifunza kwao matusi!

Ninachozungumza ni kutoa uwanja sawa kwa wote!! Tuambie kama ni haki kutokutoa uwanja sawa kwa wote!! Suala si kufaulu wote bali ni wote kucheza kwenye uwanja ulio sawa!! Kama logic hii huwezi kuielewa sina cha kukusaidia.

Kwa taarifa yako mimi si kijana, wala si miongoni wa waombaji wa ajira. Ila mimi ni mtanzania mzalendo ninayependa haki. Ni mmoja wa wazee wastaafu waliolitumikia Taifa hili kwa rekodi iliyotukuka!!
 
Hilo Sio tatizo boss kama unajua unajua tu.Tatizo ninaloona ni ajira kuwa kidogo.yaani unasaili watu 1,000 kwa nafasi 2 za kazi .haya ni matumizi mabaya ya muda na fedha.mtu anatoka mwanza anaenda DAR anatumia fedha kugombania nafasi 2.
Kuitwa watu 1000 kwa nafasi 2 ni sawa na haki kabisa ili mradi wote hao wana sifa zinazotakiwa!! Ukiita 10 hao 990 wana haki ya kulalamika. Waite tu washindwe wenyewe!! Kwa hilo naipongeza sana tume ya ajira. Iwe makini tu kutoa taarifa kwa wote kwa siku moja ili wapambanishwe kwa haki!
 
Kwa sasa imekuwa kama utaratibu. Kwa mfano ulio hai kuna baadhi ya waombaji wa ajira MDA's na LGA's walipewa taarifa ya kuitwa kwenye usajili tarehe 07/01/2023 na wengine wakaitwa kama majina ya nyongeza siku tano baadaye yaani tarehe 12/01/2023. Na wote hao watafanya usaili tarehe 15/01/2023.

Tunashukuru kwa sababu walioitwa baadaye ni kama walikuwa wamesahaulika kwa hiyo wakikumbukwa tunashukuru. Ni kama hatimaye wametendewa haki.

Lakini tunasema si haki kwa sababu hao walioitwa awali ana siku tano zaidi ya maandalizi kuliko hawa walioitwa baadaye maana tarehe ya usaili ni moja. Kwa kuwa tarehe ya usaili ni 15/01/2023 walioitwa awali wana siku nane (8) za kujiandaa na usaili wa kuandika (written interview) wakati walioitwa baadaye wana siku tatu (3) tu za kujiandaa na usaili huo.

Kwa hiyo hao waliopata muda mrefu wa maandalizi wana nafasi nzuri zaidi ya kufanya vizuri kwenye usaili kuliko waliopata muda mfupi wa maandalizi. Hapo ndipo tunasema si haki.

Kwa hiyo tunaomba sana tume ya ajira wajitahidi kutoa uwanja sawa kwa wasailiwa wote.
Huu muda wa kuanzisha huu uzi ungeutumia kujiandaa ili kwenda sawa na hao wa tarehe 7
 
Pinguz kulalamik wew umesomea kaz chuo huko nazn miak 3 had tano unazan utashindw/ kuptw na hao walikuw na muda zaid

Tuliza akil nenda kwenye usaili kiroho saf.
 
Jiandae then kafanye pepa, kuitwa mapema hakukufanyi ufaulu mtihani.. kwanza shukuru kuwa umeitwa we kijna
 
Huu muda wa kuanzisha huu uzi ungeutumia kujiandaa ili kwenda sawa na hao wa tarehe 7
Huu muda wa kuanzisha huu uzi ungeutumia kujiandaa ili kwenda sawa na hao wa tarehe 7
Kwa taarifa yako mimi si kijana, wala si miongoni wa waombaji wa ajira. Ila mimi ni mtanzania mzalendo ninayependa haki. Ni mmoja wa wazee wastaafu waliolitumikia Taifa hili kwa rekodi iliyotukuka!!
 
Jiandae then kafanye pepa, kuitwa mapema hakukufanyi ufaulu mtihani.. kwanza shukuru kuwa umeitwa we kijna
Kwa taarifa yako mimi si kijana, wala si miongoni wa waombaji wa ajira. Ila mimi ni mtanzania mzalendo ninayependa haki. Ni mmoja wa wazee wastaafu waliolitumikia Taifa hili kwa rekodi iliyotukuka!!
 
Pinguz kulalamik wew umesomea kaz chuo huko nazn miak 3 had tano unazan utashindw/ kuptw na hao walikuw na muda zaid

Tuliza akil nenda kwenye usaili kiroho saf.
Kwa taarifa yako mimi si kijana, wala si miongoni wa waombaji wa ajira. Ila mimi ni mtanzania mzalendo ninayependa haki. Ni mmoja wa wazee wastaafu waliolitumikia Taifa hili kwa rekodi iliyotukuka!!
 
Wewe ni fala, sisi tulikuwa tunaenda kwenye interviews kwa ghafla. Unaweza kukurupushwa kwa Interview toka Lindi huko interview kesho saa 4 unapanda gari unatembea usiku kwa usiku.

Unapanda hata gari za ndizi mradi ufike kwenye panel mkoa mwengine zaidi ya kilometre 650.

We umepewa siku tatu. Halafu nikwambie tu kutoboa ni bahati. Kama huna hata ukipewa taarifa miezi miwili nyuma hutoboiii
 
Kwa sasa imekuwa kama utaratibu. Kwa mfano ulio hai kuna baadhi ya waombaji wa ajira MDA's na LGA's walipewa taarifa ya kuitwa kwenye usajili tarehe 07/01/2023 na wengine wakaitwa kama majina ya nyongeza siku tano baadaye yaani tarehe 12/01/2023. Na wote hao watafanya usaili tarehe 15/01/2023.

Tunashukuru kwa sababu walioitwa baadaye ni kama walikuwa wamesahaulika kwa hiyo wakikumbukwa tunashukuru. Ni kama hatimaye wametendewa haki.

Lakini tunasema si haki kwa sababu hao walioitwa awali ana siku tano zaidi ya maandalizi kuliko hawa walioitwa baadaye maana tarehe ya usaili ni moja. Kwa kuwa tarehe ya usaili ni 15/01/2023 walioitwa awali wana siku nane (8) za kujiandaa na usaili wa kuandika (written interview) wakati walioitwa baadaye wana siku tatu (3) tu za kujiandaa na usaili huo.

Kwa hiyo hao waliopata muda mrefu wa maandalizi wana nafasi nzuri zaidi ya kufanya vizuri kwenye usaili kuliko waliopata muda mfupi wa maandalizi. Hapo ndipo tunasema si haki.

Kwa hiyo tunaomba sana tume ya ajira wajitahidi kutoa uwanja sawa kwa wasailiwa wote.
Hili nalo nendeni mkalitizame
 
Unajua Biblia inasema "haki huinua Taifa". Ni vizuri uwanja wa kugombania ajira ukawa sawa kwa wote!!!
Mbona unaanza kulalamika mapema siku tatu kujiandaa kwa kada yako bado ni nyingi piga msuli kama unaenda kwenye mtihani wa taifa yaani ni mchana na usiku na tusikuone humu hadi baada ya usaili
 
Back
Top Bottom