min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 9,667
- 21,435
Sawa mjomba huu ushauri nitaufanyia kazi vilivyo🙏Jombaa, maana wewe ni anko wangu, ukijiepusha na mbusus katika umri wako, utakuwa jembe miaka yako yote. Hata ukifika 45, utaonekana kama vile uko 35. Maana mbusis zinazeesha. Utakuta kijana mdogo tu, ana 40 kesha choka na kuanza kukanyaga chini kama anatembea kwenye kokoto bila viatu. 😂 🤣 😇
Ukifikia hatua hiyo, ni shidaaa.