Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
kuna msemo usemao......................ukitaka kumla kuku usimchunguze sana...................na kwenye mahaba mambo ndivyo hivyo...............tatizo la walimwengu huangaishwa na nafsi zao kutafuta kifaa kikamilifu...................wakati wao wenyewe siyo wakamilifu..................na ukweli ni kuwa hakuna mkamilifu bali Mwenyezi Mungu tu...........................
wengi huhangaika kufuatilia nyendo za zamani za mwenzi mtarajiwa bila ya kujua ya kuwa la muhimu siyo jana ila ni kesho yenu imekaa vipi........wateja wa jana hudai ya kuwa historia yaweza kujirudia yenyewe kwa hiyo inabidi wajihami............kwa kwenda na mitazamo hiyo huishia kusahau kuwa waswahili walikwisha kuwaasa ya kuwa "mavi ya jana hayanuki........"
achana na jana kwa sababu mahusiano ni juu ya kesho na leo kidogo sasa jana yakuashia nini?
wengi huhangaika kufuatilia nyendo za zamani za mwenzi mtarajiwa bila ya kujua ya kuwa la muhimu siyo jana ila ni kesho yenu imekaa vipi........wateja wa jana hudai ya kuwa historia yaweza kujirudia yenyewe kwa hiyo inabidi wajihami............kwa kwenda na mitazamo hiyo huishia kusahau kuwa waswahili walikwisha kuwaasa ya kuwa "mavi ya jana hayanuki........"
achana na jana kwa sababu mahusiano ni juu ya kesho na leo kidogo sasa jana yakuashia nini?