Mkuu huyu Ally naona anachafua hali ya hewa........dah!
Mpaka naanza kuiogopa hii sredi wallah!
Mkuu naona anataka kuchafua hapa kuwa dingi yake ni kidume aliyemleta duniani
Hajui kuwa huyo dingi yake na baba wa dingi yake na baba wa huyo dingi walianzia wapi
Creation ilianzia kutoka Adam pamoja na kuwa na mbegu ila kama sio Adamu huu ulimwengu ungekuwa ukiwa tuu