Siamini kama nimelitaja bure. Nataka nimjue zaidi. Nimuulize maswali. Anisaidie.......
Kutaja bure ni kama hivi: Unamwona binti mrembo anapita kafungasha masaburi ya haja, guu kama chupa ya bia, sura kama Cleopatra......afu badala ya kuendelea na biashara yako we unapiga shingo feni afu unaibuka na "Mungu wangu, ningempata huyu demu, sitatumia kondom wallah) .......Sasa huku ndio kulitaja bure jina la Mungu..............Sawa eh?
Asprin sikuwa na mpango wa kucheka leo ila duh umenifanya nicheke kwa sauti hapa mpaka naulizwa umechanganyikiwa au imekuwaje