Ukikutana naye........UTAMUULIZA?

Asprin

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
68,012
95,355
Wapendwa marafiki salamu,

Jana nlimpigia simu rafiki yangu. Alipokea akiwa na simanzi kubwa. Kumbe ndio alikuwa kapokea habari ya msiba wa kaka yake. Alikuwa analia na kuongea kwa shida. Nilihuzunika kwa niaba yake..........kama si nguvu ya Tusker Malt labda nami ningemwaga chozi. Mnywaji mwenzangu akashangaa kwanini nimepata simanzi ya ghafla, nikamsimulia.

Huyu mtu akaniambia neno ambalo limenifanya nitafakari kwa kina usiku kucha......... Namnukuu: "Ndugu yangu, Mwache Mungu aitwe Mungu na aendelee kukaa hukohuko aliko maana ningepata nafasi ya kukutana naye sasa hivi ningemuuliza KWANINI ULIMCHUKUA BABA YANGU nikiwa bado mdogo nikataabika namna ile?"........ Nilichoka na mpaka sasa nimechoka.....Jamaa alivyonisimulia maisha yake, jinsi mama yake alivyohangaika.......Kweli kila mtu ana swali lake.....Dah!

Nami najiuliza.... Hivi ningepata nafasi ya kukutana na Mungu akanipa nafasi ya kumuuliza au kumwambia chochote ningemwambia na kumuuliza nini?.....

Kwanza ningeanza na shukrani:
Ahsante kwa kuniumba Mwanaume..... manake angeniumba mwanamke ningemuuliza kwanini ameniumba mwanamke.
Ahsante kwa kunipa mke mzuri (japo kwa ubinadamu wangu huwa natelezaga) na mabinti wawili wazuri.
Ahsante kwa kunipa wazazi wanaonipenda na kunijali sana
Ahsante kwa kunipa ndugu, marafiki, majirani tunaoheshimiana na kupendana sana.

Then lazima ningemuuliza;

Kwanini tatizo hili limetokea kwenye familia yetu?..... Kwanini kwetu?......... Ningemuuliza mbona kila siku tunakuomba kwenye maombi/sala utuondolee hili tatizo lakini huliondoi?........Lazima ningemuuliza...Niape?

Kuna mtu mwingine huku angekuwa na Swali kama angekutana na Mungu na kupewa nafasi ya kumuuliza?

Kama alivyonambia ndugu yangu, mwacheni Mungu aitwe Mungu......... Na aendelee kukaa huko aliko.
AMINA.

Leo ODM yuko kimajonzi zaidi.
Harudi kitandani wala nini. Anajiuliza tu.
 
Wapendwa marafiki salamu,

Jana nlimpigia simu rafiki yangu. Alipokea akiwa na simanzi kubwa. Kumbe ndio alikuwa kapokea habari ya msiba wa kaka yake. Alikuwa analia na kuongea kwa shida. Nilihuzunika kwa niaba yake..........kama si nguvu ya Tusker Malt labda nami ningemwaga chozi. Mnywaji mwenzangu akashangaa kwanini nimepata simanzi ya ghafla, nikamsimulia.

Huyu mtu akaniambia neno ambalo limenifanya nitafakari kwa kina usiku kucha......... Namnukuu: "Ndugu yangu, Mwache Mungu aitwe Mungu na aendelee kukaa hukohuko aliko maana ningepata nafasi ya kukutana naye sasa hivi ningemuuliza KWANINI ULIMCHUKUA BABA YANGU nikiwa bado mdogo nikataabika namna ile?"........ Nilichoka na mpaka sasa nimechoka.....Jamaa alivyonisimulia maisha yake, jinsi mama yake alivyohangaika.......Kweli kila mtu ana swali lake.....Dah!

Nami najiuliza.... Hivi ningepata nafasi ya kukutana na Mungu akanipa nafasi ya kumuuliza au kumwambia chochote ningemwambia na kumuuliza nini?.....

Kwanza ningeanza na shukrani:
Ahsante kwa kuniumba Mwanaume..... manake angeniumba mwanamke ningemuuliza kwanini ameniumba mwanamke.
Ahsante kwa kunipa mke mzuri (japo kwa ubinadamu wangu huwa natelezaga) na mabinti wawili wazuri.
Ahsante kwa kunipa wazazi wanaonipenda na kunijali sana
Ahsante kwa kunipa ndugu, marafiki, majirani tunaoheshimiana na kupendana sana.

Then lazima ningemuuliza;

Kwanini tatizo hili limetokea kwenye familia yetu?..... Kwanini kwetu?......... Ningemuuliza mbona kila siku tunakuomba kwenye maombi/sala utuondolee hili tatizo lakini huliondoi?........Lazima ningemuuliza...Niape?

Kuna mtu mwingine huku angekuwa na Swali kama angekutana na Mungu na kupewa nafasi ya kumuuliza?

Kama alivyonambia ndugu yangu, mwacheni Mungu aitwe Mungu......... Na aendelee kukaa huko aliko.
AMINA.

Leo ODM yuko kimajonzi zaidi.
Harudi kitandani wala nini. Anajiuliza tu.
Mimi ningemuuliza Mungu una moyo wa namna gani wa kumuacha Asprin aendelee kuwa hai ilihali umempa mke na anateleza na mabinti wengine?
 
Angenipa muda zaidi ningemuuliza: Kwanini alikubali nikazaliwa Tanzania?

Kwanini hakumfanya baba yangu awe Rais wa nchi hii?

Hakutaka mama yangu awe Firstlady?
 
Mimi ningemuuliza Mungu una moyo wa namna gani wa kumuacha Asprin aendelee kuwa hai ilihali umempa mke na anateleza na mabinti wengine?
Dah...kweli aisee.... Kwanini aniache nahangaika wakati ana uwezo wa kuilaza baioloji yangu pale naposaula boxer mbele ya binti asiye mke wangu?............Hilo la kuniua ningemuuliza kwanini unamuacha Ezan hai wakati anataka uniue?
 
Ningemuuliza Mungu je, ana lengo gani na Tanzania? na je Tume ya Taifa ya uchaguzi Tanzania ina mzidi nguvu?
 
Ningemuuliza mengi kwa nini Tanzania ina viongozi legelege na wasiojali maisha ya wananchi wao
Kwa nini kuna umaskini wa kutisha miongoni wa mwa watanzania
Kwa nini kuna ugonjwa wa ukimwi na haupati dawa ya uhakika utuache tunajilia tunda kiulaini bila kula na maganda yake
 
Ningemuuliza mengi kwa nini Tanzania ina viongozi legelege na wasiojali maisha ya wananchi wao
Kwa nini kuna umaskini wa kutisha miongoni wa mwa watanzania
Kwa nini kuna ugonjwa wa ukimwi na haupati dawa ya uhakika utuache tunajilia tunda kiulaini bila kula na maganda yake

Kwenye hiyo bold hapo, nadhani angekunasa kibao.... hahahahah

At least angalau nimefanikiwa kucheka LOL
 
Kwenye hiyo bold hapo, nadhani angekunasa kibao.... hahahahah

At least angalau nimefanikiwa kucheka LOL

Halafu ningemwambia kwa nini alitufanya tuwe tunavaa nguo angetuacha tuwe tunatembea uchi tukikutana ni kuangushana na kula tunda tuu hakuna kuvuana nguo wala nini
 
Back
Top Bottom