Annina
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 437
- 57
- Thread starter
- #41
Yah kuna demu anatembea na baba yake tena ni mchaga ata sijui itakuwa ndo yale mambo ya masharti ya mganga ilo demu mwenyewe amenona!
Inawezekana ni masharti ya waganga. Nina rafiki yangu alikuwa anafanya hivyo na babaake (huyu mzee ni mtu maarufu na amewahi kuwa mbunge) akapewa ukurugenzi katika miradi ya babake, baadae huyu mzee akaanza kutembea na wadogo zake huyu rafiki yangu - nadhani alitakiwa kufanya hivyo kama muendelezo wa masharti, sasa hawa mabinti walipojua ikawa ugomvi mkubwa, yule rafiki yangu akaamua kumrudia mungu, akajiunga na kanisa moja maarufu la kilokole, akatoa ushuhuda!
Mzee amemfukuza yule binti na kumnyang'ang'anya kila kitu ikiwemo ku freeze accounts zake.