FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
sidhani mkuu hii itakuwa mkewe anatembea na mkwewe
laana ...mkosi kweli kweli
sidhani mkuu hii itakuwa mkewe anatembea na mkwewe
Kila mwenye kulamba sharti alambwe kaka hiyo principle tangu uongozi wa karume ati...
kabisa lakini sio kwetu pemba
hivi kuna kitu kama hiki mkuu au ni hadithi tu???
Kama mwanamke akigundua mmewe anapumliwa na yeye atafute mwanake mwenzake amkarabati
Nasikia wanawake wanalinda bikira yao kwa kutoa tigo ili akija kuolewa asiaibike. Na midume nayo huwa inawashwa kunako shimo au inakuwaje?Pemba ndo wamezidi si cha wanawake si wanaume kujiexpress ni jadi
Hayo yapo sana jamani na tuwe makini sana katika kumkubali mchumba ambae humfaham zaidi, nina rafik yangu ameachana na mme wake wa ndoa mwaka 2007, walikuwa marafiki for 6 yrs walidumu katika ndoa kwa miezi 6 tu, tatizo mme alikuwa mhuni sana anachanganya wanawake wa aina tofauti, rafik yangu alitafuta chanzo ni nini akaja kupata yule mme alikuwa anapenda tigo na kwake alikuwa hapati kwaiyo kwa hao wasichana aliifuata hiyo, ilifika wakati wakiwa katika tendo la ndoa mme anataka atiwe kidole na mkewe na mkewe kitendo hiko hakiwezi, basi ilikuwa hakitoka tu ndani akirudi ghafla anakuta mme yule yuko na artificial la kutengeneza mwenyewe anajiingiza nalo, likuwa ngum kuamini na rafik yangu aliumia sana mana alikuwa hajui ata tatizo hili alipeleke wapi na litaisha na nn kama imeshafikia hivo, aliamua waachane kabisa! ile kuachana tu baada ya kama miezi 6 kupita mme yule akaoa dada wa kichaga na mme mwenyewe alikuwa na pesa maana alikuwa katika kampuni za madini hizi basi alikuwa anakula kama $3500 hivi! Hivi ss yule mme anampigia rafiki yangu cm anamwambia nipo ktk group sex hapa naenjoy sana natamani ungekuwepo unione uone ilivokuwa raha na hakuna raha katika dunia hii kama kitendo hiki unakosa sana raha kwa kutotaka kuliwa ti...o! anaweza akampigia akamwambia nipo na mzungu tu na mghana flan yan wamenichukua na boat tupo kisiwan naenjoy wala sijalala kumbuken hao anaowataja ni wanaume wenzake, mme kawa addicted mpaka sshivi anaongea tu kwa huyu mkewe wa zamani na ss huyu mwanamke ndio anaamka kujua kumbe ndio maana alikuwa maraya sana! jamani dume ukiliona la maana limeshiba kifua kikubwa na ni handsomeboy flan maana ni mixer flan hivi! lakn habari ndio hiyo huyo dd wa kichaga hajui analea maradhi tu ndani kwake maskin dunia hii!
Dunia hii ina mambo mengi ya kustaajabisha, moja wapo ni hili la jidume kuoa huku na lenyewe limeolewa! yaani kuna mwanaume mwenzie anamkula na kumhudumia kama yeye anavyofanya kwa mke wake. Nasikia case hizi zipo nyingi, sasa najiuliza huyu mdada akigundua mumewe ni chakla ya jibaba fulani atafanyaje?
Hili swali liliulizwa mwanzo,mimi nililijibu,isipokuwa sikumbuki nilitoa jibu gani. Ah ndio,nilisema,huyo mwanamke asimuache huyo jamaa,awe tu mvumilivu,aendelee kuishi naye,kwa sababu mchagua jembe siyo mkulima. Na hayo ni mambo alipaswa kupeleleza kabla ya ndoa. Watu kama hao ukiwaacha,you just make the problem worse. Ni kama ukimkamata shoga,halafu unampeleka Keko,hakuna faida yoyote. Anakwenda kule kuongeza corruption.
Yah kuna demu anatembea na baba yake tena ni mchaga ata sijui itakuwa ndo yale mambo ya masharti ya mganga ilo demu mwenyewe amenona!
Nasikia wanawake wanalinda bikira yao kwa kutoa tigo ili akija kuolewa asiaibike. Na midume nayo huwa inawashwa kunako shimo au inakuwaje?
....nafahamu kuna study inafanyika hapa dar kwa sasa kuhusu hii hali na kwa taarifa zisizo rasmi hii kitu iko sanaaaaaaaaaaaaaa...yaani watu wameoa na watoto kama kawaida lakini wanamega/megwa kama kawaida tu na wanaume wenzao ....n life goes on!!!!!Dunia hii ina mambo mengi ya kustaajabisha, moja wapo ni hili la jidume kuoa huku na lenyewe limeolewa! yaani kuna mwanaume mwenzie anamkula na kumhudumia kama yeye anavyofanya kwa mke wake. Nasikia case hizi zipo nyingi, sasa najiuliza huyu mdada akigundua mumewe ni chakla ya jibaba fulani atafanyaje?
....nafahamu kuna study inafanyika hapa dar kwa sasa kuhusu hii hali na kwa taarifa zisizo rasmi hii kitu iko sanaaaaaaaaaaaaaa...yaani watu wameoa na watoto kama kawaida lakini wanamega/megwa kama kawaida tu na wanaume wenzao ....n life goes on!!!!!
Dunia ina mambo hii! Haya maendeleo ya siku hizi yanaleta na vituko tusivyotegemea.Lakini kama Sikosei Sir Elton John alioa kabla ya kuolewa ingawa sijui kama aliwahi kupata watoto