Midavudavu
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 287
- 59
Kuna baadhi ya mambo ukiyafanya kutokana na hali na mazingira jamii inaweza isikuelewe je unalijua hilo?
1. Mchungaji kukutwa bar ukiwa mitungi kinoma
2. Kuvaa suti huku ukiwa na kandambili/yeboyebo
3. Kuingia katika eneo la ibada na suluari mlegezo au kimini
4. Kukutwa bar ukiwa umelewa huku umevaa kanzu na baraghashia
5. Kushangilia simba huku ukiwa umekaa katika jukwaa la yanga
6. Kundandia daladala huku ukiwa umevaa suti
7. Kuchuchumaa wakati wa kujisaidia haja ndogo wakati wewe ni mwanaume
8. Kujisaidia haja ndogo ukiwa umesimama wima wakati wewe ni mwanamke
9. .......................................................................:eek2:
1. Mchungaji kukutwa bar ukiwa mitungi kinoma
2. Kuvaa suti huku ukiwa na kandambili/yeboyebo
3. Kuingia katika eneo la ibada na suluari mlegezo au kimini
4. Kukutwa bar ukiwa umelewa huku umevaa kanzu na baraghashia
5. Kushangilia simba huku ukiwa umekaa katika jukwaa la yanga
6. Kundandia daladala huku ukiwa umevaa suti
7. Kuchuchumaa wakati wa kujisaidia haja ndogo wakati wewe ni mwanaume
8. Kujisaidia haja ndogo ukiwa umesimama wima wakati wewe ni mwanamke
9. .......................................................................:eek2: