Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wana JF,
Hivi ukiondoa marais wa Ghana, Afrika Kusini na Botswana, ni rais gani wa Afrika mwenye jeuri ya kumnyoshea kidole cha shutma Gbagbo wa Ivory Coast?? Kwa mtazamo wangu simwoni. Labda kama wapo mnaowafahamu. Lakini Bw. Gbagbo anafanana sana na marais wengine kwa hulka ileile ya kung'ang'ania madaraka. Tofauti yao ni approach tu inayotumika kung'ang'ania madarakani. Wengine wanachakachua
waziwazi kura za wananchi bila hata aibu na wanawatumia vibaraka wao kujitangazia ushindi. Asilimia 99.9 ya viongozi wa Afrika ni akina Gbagbo.
Hivi ukiondoa marais wa Ghana, Afrika Kusini na Botswana, ni rais gani wa Afrika mwenye jeuri ya kumnyoshea kidole cha shutma Gbagbo wa Ivory Coast?? Kwa mtazamo wangu simwoni. Labda kama wapo mnaowafahamu. Lakini Bw. Gbagbo anafanana sana na marais wengine kwa hulka ileile ya kung'ang'ania madaraka. Tofauti yao ni approach tu inayotumika kung'ang'ania madarakani. Wengine wanachakachua
waziwazi kura za wananchi bila hata aibu na wanawatumia vibaraka wao kujitangazia ushindi. Asilimia 99.9 ya viongozi wa Afrika ni akina Gbagbo.