Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Rais wa wanachama wa Chadema (execpt Zitto et.al)
Exept mmeo eh
Rais wa wanachama wa Chadema (execpt Zitto et.al)
gbagbo ni mkatoliki na alasane ni muislam.
gbagbo anatetea mfumo kandamizi wa kanisa. Ndio maana hata kama jumuiya ya kimataifa watapiga kelele vipi hawezi kuachia muislam achukue nchi yasije kufumuka madudu kama ya mou tanzania.
hakuna tofauti na kibaki. Wako tayari kuuwa idadi yoyote ya raia lakini lazima mfumo katoliki utawale.
ole wetu tukichagua maraisi wanaofadhiliwa na kanisa kama akina dr. Wa mfuko wa cement 5000/=
Wana JF,
Hivi ukiondoa marais wa Ghana, Afrika Kusini na Botswana, ni rais gani wa Afrika mwenye jeuri ya kumnyoshea kidole cha shutma Gbagbo wa Ivory Coast?? Kwa mtazamo wangu simwoni. Labda kama wapo mnaowafahamu. Lakini Bw. Gbagbo anafanana sana na marais wengine kwa hulka ileile ya kung'ang'ania madaraka. Tofauti yao ni approach tu inayotumika kung'ang'ania madarakani. Wengine wanachakachua
waziwazi kura za wananchi bila hata aibu na wanawatumia vibaraka wao kujitangazia ushindi. Asilimia 99.9 ya viongozi wa Afrika ni akina Gbagbo.
Aisee leo watoto mtalala saangapi?. Hauendi disco Toto?.