Wakubet
Member
- Oct 1, 2015
- 15
- 12
Zikiwa zimebaki saa chache kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu ukawa wamejikuta pabaya baada ya mgombea urais wao kufika jukwaani na kuwanadi wagombea wa CCM wa udiwani na ubunge huku akiwaaombea kura katika mkutano wa chadema.
Pigo la pili ni pale waliposhindwa kesi maakamani baada ya mahakama kuu kupiga marufuku wapiga kura kukusanyika katika maeneo ya vituo vya kupiga kura ikiwa ni moja ya mkakati wao wa kuvuruga uchaguzi
Na watapigwa tu kwa kuwa hakuna namna inabd wapigwe tuu!