UKAWA imeivuruga ACT - Mwigamba

Mungu hamfichi mnafiki, alikuwa anakataa kuwa sio msaliti ndani ya cdm; haya sasa yeye mwenyewe anatangaza madhumuni makuu ya chama chao ACT. Yatamshinda!..
 
Beth. Kumbe wewe ni ACT Live! daa ckujua hili. Hivi kaka daah acha tu nsiseme maana amazing! yaani siamini kabisa kuwa umo kundi hili la watu wanaotucheleweshea ukombozi
Kwani ulikuwa hujui kuwa Mnafiki Ana sura tatu? Huyu ana sifa zote hizo ..
 
Kumbe lengo lilikua kupambana na Chadema na sio kuitoa CCM madarakani?
 
Cdm kwa kutunga nyimbo zisizo hiti wanaongoza hayo maneno kayaongea saa nanae usiku nyambafu
 
Poor Mwigamba &Co. a political naive leader of a political party!
 
Mwigamba atakuwa na hali ngumu sana..hela iliyopigwa TANAPA na NSSF kupitia wasanii wa ukanga mmoja imekuwa nuksi,boss ana matatizo kumgusa anaweza ropoka, ....boss naye anawachanganya kwani tayari analili TOO LOCALS kuwa hawajashiriki..mwigamba hana hakina km boss anachagua njia gani tena.
[h=3]Desperate Woman.[/h]
 
Mungu wabariki wote wenye nia njema na nchi yetu; na uwafedheheshe na kuwashusha wote wenye nia mbaya kama hawa ACT!
 
bora angesema wamekuja kuiunga mkono ccm kisera tungemuelewa lakini anaposema wamekuja kuua chadema yeye hataki tuwe na vyama?
 
Mungu wabariki wote wenye nia njema na nchi yetu; na uwafedheheshe na kuwashusha wote wenye nia mbaya kama hawa ACT!

Sema mungu ibariki Act
Mungu amlaani mzazi wako iliekula pesa ya ccm
Mungu mlaani yeyote anaepinga act
Vuwa gamba vuwa gwanda vaa uzalendo
 
Hivi sera za ACT zina tofauti gani na za vyama vingine? Huu utitiri wa vyama hautatutoa katika umaskini tulio nao. Mpaka nafikiria sasa ni heri kumchagua mtu ambaye tunaona atawapigania wananchi watoke hapa tulipo kwa kasi fulani i.e. Afya, Elimu, Maji, Umeme, Madini na Barabara vipewe kimbau mbele.
Katiba mpya inakuja na mgombea binafsi kwa hiyo kama kwenye vyama hakuna atakayetufaa tumchague mgombea binafsi!
 
Katibu Mkuu wa ACT Samson Mwigamba amekiri ujio wa Muungano wa UKAWA umevuruga malengo ya chama chake.

Mwigamba amesema lengo kubwa la chama chake ni kuwaunganisha wananchi na kuwaeleza ubovu wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.

Mwigamba amesema hata hivyo kwa sasa Chadema iko katika ushirika na vyama vya CUF na NCCR chini ya mwamvuli wa UKAWA.Ameendelea kudai kwamba imekuwa vigumu kueleza uovu wa Chadema wananchi wakaulewa kwa sababu imetokea wananchi wanaiamini UKAWA na hawataki useme chochote kuhusu mshirika wa umoja huo.

Mwigamba hata hivyo amesema anaamini UKAWA utasambaratika kabla ya 2015.Na baada ya hapo ndipo wananchi wataelewa kuhusu vita ya ACT na Chadema.

Source:Sauti Huru.
Kuanzisha kwa ACT ni kwa ajili ya CHADEMA? Nilidhani kuwaondoa watanzania kwenye lindi la umaskini na kuwaletea maendeleo kama watapata kushika dola.
 
Back
Top Bottom