laki si pesa, wewe na abakorakamo ni mapacha?act inapendwa na watanzania wote, hata wewe unaipenda act sema unajitoa akili tu,,act iko mioyoni mwa watanzania
Last edited by a moderator:
laki si pesa, wewe na abakorakamo ni mapacha?act inapendwa na watanzania wote, hata wewe unaipenda act sema unajitoa akili tu,,act iko mioyoni mwa watanzania
laki si pesa, wewe na abakorakamo ni mapacha?
Watanzania tumeshagundua chili lichama liloibuka kama uyoga ni mini shwetani name wanachama wake in misukule ya ccm. Yani ccm inawatumia act kama mchawi anayetumia jini lake kuloga na kuua
Unalialia nini wewe mwanachama wa act ccm?
Ni kwa kiongozi alietumainiwa hapo awali kama Mwigamba kupoteza mwelekeo wake kisiasa kwa posho ya laki mbili.
Cheki sasa ushapagawa name hilo pepo act ccm ndo mana unaporomoka matusi bila kujua unachoshabikia. Kweli misukule ya act ccm no ya kuhurumia dunianj hapa mana haijitambui kabisa
hahahahahah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1 ACT mnatia huruma sana cdm ni chama chenye maono ya mbali sana na viongozi makini
jiungen na ccm mkagombee nyumba kumi chaguzi ndogo
Inasemekana baada ya yuda kusaliti hats zile pesa hakuzila tena Bali alikufa mapema kama itakavyokufa act manager sasa IPO mahutihuti.
Cheki sasa ushapagawa name hilo pepo act ccm ndo mana unaporomoka matusi bila kujua unachoshabikia. Kweli misukule ya act ccm no ya kuhurumia dunianj hapa mana haijitambui kabisa
Yani huku pwani sisi vijana tuliojitambua tunaichukia act kuliko chama chochote hapa tz. Tumejipanga kukimaliza kabisa. Ni hero ccm watawale milele kuliko act wafufuke hawa walagai tena misukule iliyojitakia.
Yani huku pwani sisi vijana tuliojitambua tunaichukia act kuliko chama chochote hapa tz. Tumejipanga kukimaliza kabisa. Ni hero ccm watawale milele kuliko act wafufuke hawa walagai tena misukule iliyojitakia.