haya bwana!.mnafki tu wewe,act wanapambana na cdm tu,hiyo unaona ni sawa?vyama vya upinzani lengo lao ni kukitoa chama tawala madarakani,sasa hawa wasaliti wanataka kupambana na cdm kwa faida ya ccm!and you think it's fine!tunajua mwigamba na kundi lake la wasaliti wanafadhiliwa na ccm from day one but that ain't gonna work.by the way,the last i checked you were a strong supporter of ccm and all of a sudden you join cdm/opposition just like mrema and cheyo did!!!
Huyu mwigamba ana uchuro kweli, ashindwe kama alivyoshindwa Zkk
namsikitikia sana MWIGAMBA , ameamua kujishusha kwa kila njia ! Ama kwa hakika laana ya usaliti ni hatari sana !
Namshauri aache siasa kwa sababu mradi wake umebuma.kwakuwa kwenye chama kama act, ccm haitampa tena fungu hivyo akatafute ajira hata kwenye magazeti ya udaku.
pumbav.u wewe unaongea ugolo mtatokwa sana povu act ndo imeyaliwa
Act wasaliti hiyo dhambi itaWatesa. no hero hats tlp name UDP kuliko act wasaliti
Samsoni Mwigamba umevurugwa, usaliti utakutesa sana.
chama makini cha act kinapendwa sana na watanzania wote
Unakipenda wew na nani? Hao walagai hatutaki hats kuwasikia. Kwanza hao wasali- act hawajui kusoma wakati kwani wanzania hawahitaji utitiri wa vyama Bali wanataka chama change uwezo wa kusimamia Sera zake na kuzitekeleza kwa wananchi basi. Huyu kitila elimu yake haimsaidii kabisa
Kwanza humu jf hamna wanachama Bali mnasaidiwa na ccm. Ccm wachawi wa siasa mana hats enzi ya mrema name nccr yake walimfanyia vituko nakumloga ivi ivi akopotea kabisa na sasa wanamtumia kama msukule wao wa kisiasa.