- Thread starter
- #21
jamani nitajieni bei niende fastaaaaaa
kawaulize mwenyewe "wanauza" kwa bei gani!
jamani nitajieni bei niende fastaaaaaa
sinza kona bar wako ka senene!
jamani nitajieni bei niende fastaaaaaa
Inakuwaje mtu mwenye imani ya kiroho unamkodisha mtu chumba afanye ukahaba mwaka mzima?
Buguruni sheli kwa nyuma kuna uchochoro usiku una giza wapo kibao unanunua na kupigia hapo hapo ........
mchele kilo 2500/=, sukari kilo 2400/=, dagaa kilo 7000/=, maharage kilo 2000/=, nyanya sado 6000/= nk nk, na failure darasa la saba na form 4 wakufa mtu.Hivi kwa maisha haya na utitiri huu wa jobless kipi tutarajie? Hayo ndo matokeo ya nchi isiyo na kipaumbele cha maendeleo ya jamii mbadala wake ni matumizi makubwa ya serikali kwa washa, magari ya kifahari, posho tena kwa watu wachache hukuviongozi wa nchi wakiwaachia wafanyabiashara wa mafuta na bidhaa muhimu wakijiendeshea biashara zao bila udhibiti.Nchi haina mwenyewe hii ni sawa na kijiwe cha wala unga na wavuta bangi, kila mtu atakalo anafanya kwani hakuna wa kumkemea wala kumzuia.Dada zangu endeleeni na kabiashara kenu bora mkono uende kunywani, ikiwezekana nendeni pale karibu na ikulu kuna wateja wa hio biashara yenu wa kumwaga.
biashara ya ngono imekuwa ni biashara ya zamani zaidi ktk historia ya mwanadamu na imekuwepo karibia popote pale anapoishi mwanadamu licha ya kupigwa vita na mamlaka nyingi duniani (kuna nchi chache zimeivumilia biashara hiyo na wahusika wanalipa kodi).Lakini labda tujiulize endapo kusingekuwa na biashara hiyo wateja wa huduma hiyo wangeenda wapi??kwa harkharka nahisi mambo yangekuwa ni ya hatar zaidi mf. ubakaji ungeongezeka sana hasa kwenye miji mikubwa yenye msongamano wa watu km dar.ni biashara ya kishenz lakin kwa upande mwingine inasaidia kulinda wanawake na watoto na matendo mabaya zaidi.
jamani nitajieni bei niende fastaaaaaa
pale wana paita kwa babu. halafu kwa pembeni kuna guest kama unalala hadi asubuhi hawakupi chumba, wahudumu wa ile guest wanakupa chumba tu kama unataka kupumzika si zaidi ya masaa matatu. ukizidisha unalipya upya. ile guest nashangaa wanavyofanya kazi. wenyewe hawataki eti umetoka mkoa unalala hadi kesho saa mbili uendelee na safari. Mia
sa nyie mnataka ukahaba usiwepo ili maandiko ya mungu yasitimie au kilà kilichoandikwa lzma kitimie vinginevyo wa2 hawatoamin uwepo wa mungu.
wanaipenda kazi yao maisha magumu jombaa kama vp inakuuma xana kajiue au wape kazi!!!!
sinza kona bar wako ka senene!