Inasikitisha na kuhuzunisha pale unapowaona kina Dada pamoja na kina Mama wakiwa wamejianika mithili ya nguo za mitumba mtaa wa Kongo wakijiuza kwa bei chee!Katika mtaa huu kuna eneo ambalo wanawake hawa wamekodisha vyumba kwa ajili ya biashara hii yenye kutweza na kushusha hadhi ya mwanamke!Vyumba hivi vinajitegemea kwa kuwa na milango ya nje ili kurahisisha "wateja" kuingia na kutoka bila bughudha kutoka kwa wakazi wa nyumba hizo!
Wanawake hawa bila aibu huvaa nguo fupi na kujichanua katika milango ya vyumba vyao kusubiri "wateja" wanaomiminika kwa wingi kuanzia saa moja usiku!
Muda wa mchana hali ni shwari na huwezi kujua kama kuna "biashara" chafu inafanyika katika eneo hili!
Wenye nyumba hizi kwa tamaa ya kupata fedha wanawapangisha "AKINA MAMA POA" hawa wafanye ukahaba bila kificho!
Ukahaba katika Tanzania hauruhusiwi,mamlaka husika zipo zinafumba macho kana kwamba hazioni,kuna serikali ya mtaa,kata,wilaya mpaka manispaa ya Temeke!TAMWA mnafahamu kwamba wanawake wenzenu wanajiuza kama nyama buchani pale Temeke!!Kamanda kova take this for further action kama ilivyokuwa kule "HYENA SQUARE" ambapo hali imerudi kama zamani baada ya kusambaratishwa kwa kipindi kifupi!
AKINA MAMA POA HAWA WAMETHUBUTU KUFANYA UKAHABA,WAMEWEZA NA SASA WANASONGA MBELE 2012!
Wanawake hawa bila aibu huvaa nguo fupi na kujichanua katika milango ya vyumba vyao kusubiri "wateja" wanaomiminika kwa wingi kuanzia saa moja usiku!
Muda wa mchana hali ni shwari na huwezi kujua kama kuna "biashara" chafu inafanyika katika eneo hili!
Wenye nyumba hizi kwa tamaa ya kupata fedha wanawapangisha "AKINA MAMA POA" hawa wafanye ukahaba bila kificho!
Ukahaba katika Tanzania hauruhusiwi,mamlaka husika zipo zinafumba macho kana kwamba hazioni,kuna serikali ya mtaa,kata,wilaya mpaka manispaa ya Temeke!TAMWA mnafahamu kwamba wanawake wenzenu wanajiuza kama nyama buchani pale Temeke!!Kamanda kova take this for further action kama ilivyokuwa kule "HYENA SQUARE" ambapo hali imerudi kama zamani baada ya kusambaratishwa kwa kipindi kifupi!
AKINA MAMA POA HAWA WAMETHUBUTU KUFANYA UKAHABA,WAMEWEZA NA SASA WANASONGA MBELE 2012!