najua tofauti za shule ndio sababu basi msisome sana wengine tuingie huko..
Bi Mkongwe,Sasa unataka wenzako wasisome wakusubiri wewe uende shule? Hizo si ndizo sera za awamu ya kwanza za kuweka average marks za kupasi kwenda Form ! kwa Wachagga kuwa kubwa kuliko Mikoa mengine. Matokeo yake wale ndio wakawa wana akili zaidi na kupasi zaidi kwenda Form V na hatimae Chuo Kikuu.
Walipobaniwa na Serikali kutokuingia government schools, Wachagga vile vile walijitahidi kujenga private schools ili wale walioachwa wapate fursa ya kwenda Sekondari. Mimi sio Mchaga lakini niliwahi kusikia wakati nilipokuwa Chuo Kikuu mwalimu mmoja akielezea huo mkasa.
Cha msingi ni hayo makabila mengine kujitahidi ili nao wapasi zaidi na kupata fursa zaidi za kwenda Chuo Kikuu.
wako wengi ndioutafiti wako umetumia kigezo gani?......si kweli kuwa wachagga ni wengi....rudia tena huo utafiti
wachag wamejazana maofisini sio kwa kuwa wamesoma bali ni kwasababu ya ukabila walio nao, akiingia mmoja atahakikisha anawajaza wenzake na makabila mengine yanayofanya kazi nayo yatadhalilika
chadema ni mfano mkubwa, alipoachia madaraka mtei akampa mkwewe mbowe pamoja yakua shule kafeli, huko chadema ndo wamejazana uchaga mtupuuuuuuuuuuuuuuu
zito hupati kitu huko, walikuita hero wakati ulikua unawatetea, ulipoanza kuwa chalenge umaarufu wako unashuka kwa sababu media ikochini yao. Hawa jamaa wana ukabilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wachag wamejazana maofisini sio kwa kuwa wamesoma bali ni kwasababu ya ukabila walio nao, akiingia mmoja atahakikisha anawajaza wenzake na makabila mengine yanayofanya kazi nayo yatadhalilika
chadema ni mfano mkubwa, alipoachia madaraka mtei akampa mkwewe mbowe pamoja yakua shule kafeli, huko chadema ndo wamejazana uchaga mtupuuuuuuuuuuuuuuu zito hupati kitu huko, walikuita hero wakati ulikua unawatetea, ulipoanza kuwa chalenge umaarufu wako unashuka kwa sababu media ikochini yao. Hawa jamaa wana ukabilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
mbona hio cha mtoto inawezekana sio mzoefu wa vyama vya siasa
nenda tlp..mrema akawajaza wakina thomas ngawaiya na wenzake...na huu ndio muungano nyerere aliotaka tuuzinishe jana
nenda ccm
rais .......................jakaya mrisho kikwete
riziwani kikwete......mjumbe wa halmashauri kuu ya ....
Salma kikwete....mjumbe wa halamshauri kuu ya ccm ....
Bado wewe bull;na kwa style hii hata ndugu zako waliosoma wataishia kwenye mtandao wa natafutakazi.com,kazi999.com,nk
Tukipita kila ofisi serikalini,binafsi,uwiiiii
wachaga tena wako post za juu jamani
inatia moyo lakini ndugu zetu tuwaachie na wengine naona watu wameanza kukasirika najua tofauti za shule ndio sababu basi msisome sana wengine tuingie huko...
Of course hakuna jipya wachaga ni wakabila, wanaiba sana kupeleka kaskazin kwa bibi zao, ndo maana hata wakati wa kuomba uhuru babu yao alijitokeza kuomba uhuru wa kilimanjaro, Msiwalaumu sana kwasababu wako narrow minded they only think in a shallow pit, they have left their fellow citizen thinking they are not responsible for a collective development.
Hakuna cha ukabila wala nini, mchaga ni tofauti na Shomile anavyokuwa madarakani japo kuwa shomile wamesoma sana kuliko wao, hakuna sababu ni ubinafsi and greedy.