Ujinga wa hali ya juu

PNC

JF-Expert Member
Feb 3, 2015
8,107
14,352
Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize...

Kaka, mbona u mnyonge hivyo?"
Jamaa : 'aaaaah we niache tu, kuna rafiki yangu nimemkopesha laki tano akafanye PLASTIC SURGERY ya uso, Mwanaharamu sasa nashindwa kumtambua!!
 
Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize...

Kaka, mbona u mnyonge hivyo?"
Jamaa : 'aaaaah we niache tu, kuna rafiki yangu nimemkopesha laki tano akafanye PLASTIC SURGERY ya uso, Mwanaharamu sasa nashindwa kumtambua!!
Itakuwa ni huyu mpita njia
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize...

Kaka, mbona u mnyonge hivyo?"
Jamaa : 'aaaaah we niache tu, kuna rafiki yangu nimemkopesha laki tano akafanye PLASTIC SURGERY ya uso, Mwanaharamu sasa nashindwa kumtambua!!
 
Back
Top Bottom