Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Lulu ni #1 suspect na Seth ni #2 hakuna jinsi hapo!
na kama lulu alijichana chana baada ya kugundua keshaua tayari, hilo unalisemeaje? Pia yawezekana Kanumba alimrudisha Lulu ndani kwa nia nzuri tu na mtoto kafika ndani kareact na kujaribu kukimbia tena. Na hapa inawezekana ndiyo alimsukuma kwa nguvu sana ili ampishe. Katika hali ya kawaida Lulu hana nguvu ya kumsukuma Kanumba hadi apasuke kichwa na kufa. Na hapa ndiyo panapokuja suala la uchunguzi zaidi. Yaweza kuwa alimrudisha chumbani na tayari kikawa kinataka kwenda kwa yule jamaa mwingine na hapo kikamvizia na kumpiga na kitu kizito kisogoni. Kwanza siyo rahisi kuanguka na kupata jeraha kama ni kuanguka kwa kawaida tu chumbani. Hapo kuna maswali mengi. Sitetei upande wowote mpaka uchunguzi ukamilike. Utata ni zaidi ya tuwazavyo.