Ujenzi flyover chang'ombe /uhasibu

BONTABOY

Senior Member
Nov 20, 2015
199
173
Naomba kujuzwa kuhusiana na ujenzi unaendelea wa flyover chang'ombe /uhasibu maana yangu ni kuwa kwa nini hawa wakandarasi wakati wa ujenzi hawamalizi kwanza upande mmoja ili kupunguza msongamano ndio waendelèe na mwingine kuliko upande mmoja haujaisha wao wameshanza mwingine msongamo inazidi kuwa mkubwa zaidi waandisi tujuzeni
 
Ni shida kubwa ya Waliowapa hizo tender... Yaani hadi inafikia wakati unachukia hayo madaraja... And then utasikia ni wasomi Mainjinia... Wanadharaulisha sana elimu ya Tanzania... Unakuta wamebomoa huku wakaacha miezi hadi miwili hawajagusa tena... why !
 
Mimi nikwambie Bwana bontaboy
Hii mada uliofungua ni nzuri sana

Miradi mingi Dar es salaam iko hivi sijajua mikoa mingine, miradi inawekwa magap gap na sioni kama kuna ulazima huo. Lakini hata nashindwa kuelewa ni kwanini

Mradi wa BRT mbagala ni mfano mzuri wanaruka ruka ujenzi
Mradi wa barabara hii ya karume kwenda magomeni nao ni hivyo hivyo. nk

Nadhani tujadiri tupeane majibu hapa
 
Mimi nikwambie Bwana bontaboy
Hii mada uliofungua ni nzuri sana

Miradi mingi Dar es salaam iko hivi sijajua mikoa mingine, miradi inawekwa magap gap na sioni kama kuna ulazima huo. Lakini hata nashindwa kuelewa ni kwanini

Mradi wa BRT mbagala ni mfano mzuri wanaruka ruka ujenzi
Mradi wa barabara hii ya karume kwenda magomeni nao ni hivyo hivyo. nk

Nadhani tujadiri tupeane majibu hapa
Mimi naomba mainjinia watuambie Siri ya style hii ya ujenzi ni nini? Wanatibua hapa wanaacha wanaenda mbele kidogo wanatibua wanahamia upande wa pili! Haiwezekani kujenga upande mmoja au kujenga barabara ya zege ya brt Kwanza?
 
Kimara nako mapipa mengi barabarani !!! Hawayatoi sijui kwa nn!!!
lakini mkuu ukiwa kama unaenda kingongo ukicheck kama unaenda mbezi unaona jinsi mapipa yalivyopendezesha barabara yangefungwa zile right utafikiri tumekaribia krismass
 
Mimi naomba mainjinia watuambie Siri ya style hii ya ujenzi ni nini? Wanatibua hapa wanaacha wanaenda mbele kidogo wanatibua wanahamia upande wa pili! Haiwezekani kujenga upande mmoja au kujenga barabara ya zege ya brt Kwanza?
Namna ya kushikilia kazi. Hawawezi kumwambia mkandarasi, nusu ya huku ambako hata hujapaanza tutampa tenda mwingine amalizie ;)

Kihandisi, kuna kitu kinaitwa settlement. Baadhi ya vitu huhitajika kufanyika mapema na kuviacha kama vilivyo ili kuruhusu consolidation/settlement/curing. Wakati huohuo wa kusubiri unaendelea na kazi kipande kingine.

Kumbuka, kazi hizi ni za gharama kubwa. Bila shaka utaalam wa usimamizi wa miradi hutumika pia. Mbinu kama vile Critical Path kwenye Flow Diagram huamua ni kazi zipi muhimu kuanzwa, na kwa mfuatano upi.

Amini usiamini, hata mkandarasi anataka kazi iishe haraka, avute mpunga, aende zake.
 
Namna ya kushikilia kazi. Hawawezi kumwambia mkandarasi, nusu ya huku ambako hata hujapaanza tutampa tenda mwingine amalizie ;)

Kihandisi, kuna kitu kinaitwa settlement. Baadhi ya vitu huhitajika kufanyika mapema na kuviacha kama vilivyo ili kuruhusu consolidation/settlement/curing. Wakati huohuo wa kusubiri unaendelea na kazi kipande kingine.

Kumbuka, kazi hizi ni za gharama kubwa. Bila shaka utaalam wa usimamizi wa miradi hutumika pia. Mbinu kama vile Critical Path kwenye Flow Diagram huamua ni kazi zipi muhimu kuanzwa, na kwa mfuatano upi.

Amini usiamini, hata mkandarasi anataka kazi iishe haraka, avute mpunga, aende zake.
Watu wengi hawajui ni namna gani mkandarasi anapenda hiyo paragraph ya mwisho, wanafikiri watu wapo site kuuza sura.
 
Labla ndo utaalamu wenyewe huo, c unajua tena mambo ya injinia (soma hiyooooooo) ni tofauti na kuuza ubuyu.
 
Namna ya kushikilia kazi. Hawawezi kumwambia mkandarasi, nusu ya huku ambako hata hujapaanza tutampa tenda mwingine amalizie ;)

Kihandisi, kuna kitu kinaitwa settlement. Baadhi ya vitu huhitajika kufanyika mapema na kuviacha kama vilivyo ili kuruhusu consolidation/settlement/curing. Wakati huohuo wa kusubiri unaendelea na kazi kipande kingine.

Kumbuka, kazi hizi ni za gharama kubwa. Bila shaka utaalam wa usimamizi wa miradi hutumika pia. Mbinu kama vile Critical Path kwenye Flow Diagram huamua ni kazi zipi muhimu kuanzwa, na kwa mfuatano upi.

Amini usiamini, hata mkandarasi anataka kazi iishe haraka, avute mpunga, aende zake.
Sasa kidogo nimeelewa. Nilikuwa nahisi lazima kuna sababu ya kiufundi.
 
Mataa ya veta napo ni kero sana, juzi tulitoka hapo quality plaza nikampa mtu moja lift, kumbe alisahau simu yake ofisini hapo quality plaza tukiwa kwenye foleni ikabidi akaichukuwe tukaagana, kwani tulijua hawezi kunikuta ajabu alirudi akakuta nipo pale pale
 
Haya ni Mapinduzi makubwa ya elimu yetu,kumbuka miaka mingi imepita tumekuwa bookish na kazi zote wamekuwa wakisimamai watu wa Magharibi,heri nusu Shari kuliko Shari kamili,imagine wanavyojitahidi bila wahindi Wala Makaburu,kwa hili la wakandarasinwa ndani nmapongeza mwendazake kwa kujaribu kuwaamini na huu ni mwanzo mzuri Ila Fi attachment waende Canada au Islael
Ni shida kubwa ya Waliowapa hizo tender... Yaani hadi inafikia wakati unachukia hayo madaraja... And then utasikia ni wasomi Mainjinia... Wanadharaulisha sana elimu ya Tanzania... Unakuta wamebomoa huku wakaacha miezi hadi miwili hawajagusa tena... why !
 
kuna wakati bora tukatumia hela nyingi haya maujenzi yakaenda haraka...
naamini haya maujenzi tukitoa fungu kubwa na makampuni makubwa yenye muscles yakapewa kazi basi kazi inaweza kwenda faster na kuisha... labor force kubwa, muda mrefu wa kazi ( day and night, weekend, holiday nk..)..
 
Naweza nikaita ule ni uharibifu, hali hii inasababisha kudorora kwa uchumi kutokana na foleni kubwa lakini pia husababisha ajali kwa watumiaji wa barabara.
 
Back
Top Bottom