Uingereza haikumtendea haki Rais Kikwete

Status
Not open for further replies.
Walialika mawaziri wa afya sasa yeye kilichompeleka nini?
Alienda kuomba msaada wa kufundishwa namna ya kupunguza kuzaana. Mana wabongo km wanyama utashi wa kuzuia mimba mpaka tutoe uingereza. Wao wameweza kupitia kukameruniana sa nass nadhan ndio elim tutakayopewa.
 
Hivi si UK ndiko alihongewa Suti? Jamaa wanamdharau tu.


Hoja ni kwamba Kikwete yuko tayari hawa kwa wa kiwango cha chini

8D6U1674.JPG


Yuko flexable hata kupokelewa na watu kama hawa

images
 
rais wetu mpendwa, mkuu wa nchi, amiri jeshi, mwenyekiti wa chama tawala!!!!!!!!!!!!!??????????????
Sijafurahia kabisa the way walivyom-treat rais wetu.
Amekwenda kuitembelea uingereza, alitakiwa alakiwe na mwenyeji wake waziri mkuu au malkia! Lakini cha ajabu rais wetu mpendwa alikwenda kulakiwa/kupokewa na naibu waziri wa maendeleo wa kimataifa! ??????????????
Not fair at all!
Unajua kama wamemchoka rais wetu wasema tu kuliko kumtendea wasivyopenda na wao kutendewa!

uingereza5.jpg

naibu waziri wa mambo ya kimataifa wa uingereza stephen o'brien akiwa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, amiri jeshi mkuu, ndg jakaya kikwete.
unapenda kuwa na mkuu wa nchi wa kupokea wageni tu! Wenzio wana mambo ya msingi ya kufanya. Mgeni wa kila siku nae mgeni gani?
 
Rais wetu mpendwa, Mkuu wa nchi, Amiri Jeshi, Mwenyekiti wa Chama tawala!!!!!!!!!!!!!??????????????
Sijafurahia kabisa the way walivyom-treat rais wetu.
Amekwenda kuitembelea Uingereza, alitakiwa alakiwe na Mwenyeji wake Waziri Mkuu au Malkia! Lakini cha ajabu Rais wetu mpendwa alikwenda kulakiwa/kupokewa na naibu waziri wa maendeleo wa kimataifa! ??????????????
Not fair at all!
Unajua kama wamemchoka rais wetu wasema tu kuliko kumtendea wasivyopenda na wao kutendewa!

uingereza5.jpg

Naibu waziri wa mambo ya kimataifa wa uingereza Stephen O'brien akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu, ndg Jakaya Kikwete.

Hapana; Kulakiwa AIRPORT ni EITHER FOREIGN AFFAIRS MINISTER or HIS ASSISTANT kwa sababu Marais wengi

Walikuwa wanahudhuria Mkutano huo; Sio Waziri Mkuu au Malkia anakwenda AIRPORT hiyo ndio PROTOCOL

Hata saa Nyingine Tanzania wanafanya hivyo kama ni Marais zaidi ya 2 wanawasili Tanzania; Membe ndie atakuwa

Airport Kuwapokea - THAT's the PROTOCOL
 
Mkuu wangu Mungi. Mapokezi ya wageni kwa wenzetu wa nchi kubwa ni tofauti na sisi. Siku hizi hawaendi viwanja vya ndege kuwapokea wageni wao,wanapokolewa na maofisa/mawaziri ambao wanawasindikiza mpaka Ikulu ambako wanakutana na mwenyeji wao. Na hii ni kama ni mwaliko rasmi. Ni nadra sana siku hizi kiongozi kuwepo uwanjani kumpokea mwenzake. Ziara zao ni za kikazi zaidi siyo kama sisi ambao watawala wanaenda kuzurura na kustarehe!
 
Walimtendea haki sana kulingana na wanavyomfahamu na kumtathmini. Wenzetu wana kawaida moja. Kila mtu humtendea kulingana na uzito wake. Ndiyo maana Mwalimu Nyerere hakupenda kufanya ziara za hovyo hovyo nje ya nchi kuogopa wenyeji wake wasimchoke. Kuna siri nyingi za Kikwete wanazojua kiasi cha kumpa heshima hafifu mnayolalamikia. Kwa ufupi watawala wengi wa kiafrika hasa wale wasio na sifa nzuri huchukuliwa kama watu wadogo sana kwenye nchi za magharibi. Hivyo msishangae Kikwete kutendewa hivyo. Angekuwa Mandela asingetenzwa hivyo.
 
Watu wako busy mambo ya maana ma stratergic
.sio kukutana kutana na watu wasio na visio wala mipango ya maana katika safari zao
 
Gesi ichimbwe Tanzania,
Maendeleo ya uchimbaji uende na kontena la watu kupata maelezo Uingereza?
Kikwete alizaliwa saa ngapi?

Na huo ndio umbumbu wetu. Gesi ichimbwe tz utumie pesa za nchi ukaelezwe jinsi inavyochimbwa nje ya nchi halafu unafurahia. Angeokoa bei gani kama hii siku angerudi tz na kutembelea kwenye kisima chenyewe?
 

Hapana; Kulakiwa AIRPORT ni EITHER FOREIGN AFFAIRS MINISTER or HIS ASSISTANT kwa sababu Marais wengi

Walikuwa wanahudhuria Mkutano huo; Sio Waziri Mkuu au Malkia anakwenda AIRPORT hiyo ndio PROTOCOL

Hata saa Nyingine Tanzania wanafanya hivyo kama ni Marais zaidi ya 2 wanawasili Tanzania; Membe ndie atakuwa

Airport Kuwapokea - THAT's the PROTOCOL

Na ndiye mwenyeji wake badala ya mkuu wa nchi?
 
Mkuu wangu Mungi. Mapokezi ya wageni kwa wenzetu wa nchi kubwa ni tofauti na sisi. Siku hizi hawaendi viwanja vya ndege kuwapokea wageni wao,wanapokolewa na maofisa/mawaziri ambao wanawasindikiza mpaka Ikulu ambako wanakutana na mwenyeji wao. Na hii ni kama ni mwaliko rasmi. Ni nadra sana siku hizi kiongozi kuwepo uwanjani kumpokea mwenzake. Ziara zao ni za kikazi zaidi siyo kama sisi ambao watawala wanaenda kuzurura na kustarehe!

Mkuu haikuishia kwenye mapokezi tu, naibu waziri alibaki kuwa mwenyeji kwa mpendwa wetu.
 
Rais wetu mpendwa, Mkuu wa nchi, Amiri Jeshi, Mwenyekiti wa Chama tawala!!!!!!!!!!!!!??????????????
Sijafurahia kabisa the way walivyom-treat rais wetu.
Amekwenda kuitembelea Uingereza, alitakiwa alakiwe na Mwenyeji wake Waziri Mkuu au Malkia! Lakini cha ajabu Rais wetu mpendwa alikwenda kulakiwa/kupokewa na naibu waziri wa maendeleo wa kimataifa! ??????????????
Not fair at all!
Unajua kama wamemchoka rais wetu wasema tu kuliko kumtendea wasivyopenda na wao kutendewa!

uingereza5.jpg

Naibu waziri wa mambo ya kimataifa wa uingereza Stephen O'brien akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu, ndg Jakaya Kikwete.

What did you expect? Apokelewe na prime minister kwa heshima gani walio nayo?
 
Inategemea na mambo yafuatayo
1) Either wamekuchoka kutokana na kwenda kila siku na propaganda zilezile
2)Ni jambo la kawaida kimila za kule.
3)Waziri mkuu wao anashughuli nyingine muhimu za kitaifa au hayupo
Ila Malkia kukupokea usahau milele labda mkachumbie kwenye familia yake.... Chagua moja kati ya hayo

Ni rahisi malkia kukupokea kapuku airport kuliko mtu wa sampuli ya kikwete kuchumbia mtu kutoka ukoo wa malkia.
 
Siku nyingine wamtose kabisa ajipokee mwenyewe na kujitafutia guest yeye mwenyewe..hana haiba ya kuwa rais, anapwaya mno..angalia m7 na kagame walivyopokelewa, sio kama huyu mbabaishaji, na asivyo muelewa yeye anaona poa tu, liwalo limekuwa
 
Acheni ushamba nyie!! ... marais huwa hawapokelewi uwanja wa ndege na vikundi vya matarumbeta kama mnavyofanya bongo. mnatia aibu sasa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom