Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,065
- 22,758
Hebu acheni kuwa vichwa maji humu jf, kagame na museveni nao Wako kwenye hiki kikao hebu tuonyeshe wapi walilakiwa na malkia au camerun? Km huna ushahidi utakuwa umejiaibisha mwenyewe na washwa washwa wenzako wote
Nafikiri hizi picha mbili hapa chini zinajieleza!