Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Kwa kweli mambo yamebadilika sana siku hizi, hapo hao mahawara wanaona ni kitu cha kawaida kabisa na mtu akienda kuwashauri watamuona wa ajabu na kapitwa na wakati...Kwa kweli inatakiwa tumtegemee Mungu kwa kila jambo na hasa hapa kwenye kutafuta wenza ambao hawatakuwa na tamaa na ambao tutaendana nao.