Nasema
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 556
- 344
Heee! Kumbe wenzangu bado wanaangalia uhandsome! Mi kwa kweli uhandsome kwangu sio issue, muhimu niwe nimekufeel tu, na labda hapo kwenye mambo fulani nakuunga mkono, kama mwanaume anachemsha kwenye mambo fulani basi mi simtaki! Nipo kinyume nawe maana mi tabia naiangalia kwa jicho makini sana! Kwa mfano kuna kijana alikuwa ananitongoza wakati fulani, sasa siku moja nikapitia kwenye wall yake ya facebook kidogo nizimie hayo mambo anayopost, na ndio nikamdisqualify kabisa.