Ugonjwa wa Tetekuwanga (Chicken Pox): Maambukizi, dalili, madhara na tiba

pole sana mdau.. kwa maelezo siwezi sema moja kwa moja kwamba ni allergy ama laah, lakini cha kushauri kwa jinsi navyoelewa afanye usafi wa mwili wake mara 3 kwa siku na poa atumie sabuni ambazo ni disinfectant kama tetmosol soap. pia atumie multivitamins mahala amapolala pawe safi.....pia vyakula ambavyo vitaimarisha kinga yake ya mwili. pia utaratibu ufanyike wa kuonana na daktari wa magonjwa ya ngozi
ahsante sana mkuu
 
dawa yake ni majani ya ukwaju na miembe, yn unachuma majani ya ukwaju na ya mwembe ya mwembe yasiwe yamekomaa sana unachanganya na kuyatwanga baada ya kutwanga unachanganya na maji kisha unasugua mwili kidogo kwa dodoki halafu unaoga huo mchanganyiko uctumie sabuni wakati wa kuoga pia ucjifute acha maji yakauke yenyewe mwilini baada ya kukauka chukua mchanganyiko mwingine jipake mwili wote.
Juice ya ukwaju vp akinywa nayo
 
Ugonjwa wa kishenzi sana huu, sijui niliupata wapi ila nahisi job sababu kuna work mate alikua ametoka kuugua, na kwa rekodi zangu baada ya kumchezi bi mkubwa akaniambia wote walishaumwa home ilikua imebaki mimi tu.

Nimeumwa mwanzoni mwa mwaka huu, haki hakuna rangi niliacha kuona, hasa wakati wa kulala ilikua ni shida, full kuwashwa mwili mzima.
Nilikua nikikaa alone najikatia tamaa hasa nikijicjeki kwenye kioo sababu nilikua natisha balaa, yani bora mtu uumwe utotoni sababu ni ugonjwa fulani wa kishenzi sana.
Sindano 5, dawa aina tatu za kumeza na lotion ya kupaka ndio vimenisaidia sana mpaka kupona, nashukuru Mungu hujaniachia alama wala makovu yoyote.
 
Back
Top Bottom