Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 20
Mkuu Signature Yako inanikata sitimu kabisa,
Ok ngoja niitaute make ndo na pata internet nilikuwa far, Ila maelezo yake ni ya kidhungu, nitayaweka baadae nikiwa na laptop,
Mkuu Chasha, na Wakuu wote; Mwenyezi Mungu awabariki sana.
Mkuu Chasha bado nasubiri upate laptop ili niendelee kufaidi, maana ilikuwa tarehe 10 leo tarehe 15.
Kuhusu signature ni imani, na kila imani imekamilika na ina Mungu wake.