ndugu Kubota na jamii ya wafugaji kuku kwa jumla, ninajiandaa kufuga kuku kuanzia august, krismas nataka kula kuku live kutoka bandan.
mwez ujao najenga banda la miti lililokandikwa na udongo, na kuezekwa na makuti, milango ya bati, itakuwa na chemba tatu 1 kulala na kuatamia, wakitotoa wanamishiawa geto namba 2 na vifaranga vyao, geto la 3 ni Jela.
sasa mchwa ndio shida eneo hili nahis watadondosha banda ndan ya siku 180, je kuna dawa ya kupaka mchwa wasile iyo miti ya banda?
Wengi hutumia OIL chafu katika kupaka miti ili isibunguliwe na mwadudu wa aina yoyote japo watu wa mazingira wanapiga vita sana hii kitu ,il ani njia nzuri sana kupambana na wadudu wala miti hasa mchwa....

Ila kama utataka kwenda kitaalamu kuna madawa ya dukani yanapatikana maduka ya mifugo ya kuzuia mchwa japo ni gharama sana...
 
Vifaranga wangu manyoya yanatimka halafu wanajaa upepo ndani ya ngozi kama puto,hawali chakula muda mwingi wanafumba macho hadi wanakufa! Je wadau huu ni ugonjwa gani? Nitawatibu vifaranga wangu na dawa gani? Natanguliza shukrani.
 
kwa wafugaji wa kuku hapa jf..nahitaji mbolea ya kuku kwa ajili ya kilimo cha matikiti,nipo dar ila shamba lipo mkuranga,naanza mwezi ujao,na ni kwa mara ya kwanza!kama kuna mtu anaweza nisaidia kwa gharama nafuu ili nisafirishe!nahitaji almst 800kg!thanx in advnc
 
kwa wafugaji wa kuku hapa jf..nahitaji mbolea ya kuku kwa ajili ya kilimo cha matikiti,nipo dar ila shamba lipo mkuranga,naanza mwezi ujao,na ni kwa mara ya kwanza!kama kuna mtu anaweza nisaidia kwa gharama nafuu ili nisafirishe!nahitaji almst 800kg!thanx in advnc
 
Duh! nimeipenda sana hii mzee. hata mimi nimevutiwa nayo please kama inawezekano send it even to me. Maana " We normally learn good from the ways of people than from people themselves". Please do it maana nipo katika mchakato huo huo, japo siko Dar.


Naona Mkuu ElNINO ametingwa maana hata mm nimemuomba anitumie hiyo database lakini naona hajanijibu!!! Pengine tuendelee kumsikilizia!!!

 
Vifaranga wangu manyoya yanatimka halafu wanajaa upepo ndani ya ngozi kama puto,hawali chakula muda mwingi wanafumba macho hadi wanakufa! Je wadau huu ni ugonjwa gani? Nitawatibu vifaranga wangu na dawa gani? Natanguliza shukrani.

Hayo yanaweza kuwa ni matatizo yanayotokana na lishe duni. Hakikisha vifaranga wanapata chakula toshelevu. Lishe duni ni chanzo cha matatizo mengi sana na pia matatizo mengi sana hutatuliwa kwa kulisha kuku chakula kilichokamilika!
 
kwa wafugaji wa kuku hapa jf..nahitaji mbolea ya kuku kwa ajili ya kilimo cha matikiti,nipo dar ila shamba lipo mkuranga,naanza mwezi ujao,na ni kwa mara ya kwanza!kama kuna mtu anaweza nisaidia kwa gharama nafuu ili nisafirishe!nahitaji almst 800kg!thanx in advnc
Mbolea ya kuku ukiweza kupata ya kutosha ni nzuri sana
 
Habari za siku wafugaji, poleni na kazi. Nashukuru kwa michango yenu na mwl Kubota, najaribu kutekeleza baadhi ingawa miezi hii school fees inakwamisha sana. Kuna swali la ujenzi kama kuna mchwa njia mbadala ni kujenga kwa kutumia mabati yaliyotumika na mirunda yenye dawa kwenye nguzo kisha chini unapiga plasta na kuziliba kidogo kwa nje haya yanadumu sana waweze livunja na kuhama na material zako. Hizi ni mfano wa mahanga ya JKT zamani au police quarters. Mimi nina mpango wa kujenga hivyo ila mambo taratibu nasafisha eneo na kupanda miti kwanza. Kuna sample niliweka hapa aliuliza mtu kuhusu mabanda ya kuku. Kazi njema
 
Hayo yanaweza kuwa ni matatizo yanayotokana na lishe duni. Hakikisha vifaranga wanapata chakula toshelevu. Lishe duni ni chanzo cha matatizo mengi sana na pia matatizo mengi sana hutatuliwa kwa kulisha kuku chakula kilichokamilika!

Aksante! Nitarekebisha hilo nione matokea yake pia.
 
Kubota ubarikiwe sana sanaaaaaaaaaaaaaaa..
JF kisima cha maarifa!

Ubarikiwe nawe Mkuu neggirl, na wachangiaji wote, na wasomaji wote na bila kuwasahau walioasisi JF na kuliweka jukwaa hili na kulifanya liwepo siku zote, JF!! Tuitumie fursa hii kubwa ya mawasiliano kwa maendeleo yetu!
 
Kuna na Majani ya Mpapai hayo nayo ni bora kabisa kwa Kumpa kuku, na si kwamba anapata Vitamini tu bali ni Tiba kwa kuku, na Mbegu zake zinatumika huko west Africa kutibu Kideri

Wakuu wote, (Kubota et al). Mungu mwenyezi katika Jina la Yesu Kristo wa Nazareth, awabariki sana.

Mkuu Chasha, naomba kujua jinsi ya kuandaa mbegu za mpapai kama dawa ya kideri. Ubarikiwe.
 
Wakuu wote, (Kubota et al). Mungu mwenyezi katika Jina la Yesu Kristo wa Nazareth, awabariki sana.

Mkuu Chasha, naomba kujua jinsi ya kuandaa mbegu za mpapai kama dawa ya kideri. Ubarikiwe.

Mkuu Signature Yako inanikata sitimu kabisa,
Ok ngoja niitaute make ndo na pata internet nilikuwa far, Ila maelezo yake ni ya kidhungu, nitayaweka baadae nikiwa na laptop,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom