mimi nimefurahishwa sana na michango yenu humu. mbarikiwe nasoma na mie nijifunze I guess isku moja nitaanza nina hamu ila sijui nianzie wapi. Ushauri?
 
mimi nimefurahishwa sana na michango yenu humu. mbarikiwe nasoma na mie nijifunze I guess isku moja nitaanza nina hamu ila sijui nianzie wapi. Ushauri?

Ukitaka kuanza waulize wafugaji hapa jamvini watakwambia pa kuanzia,ila usianze na jogoo mmoja kama NM, bora ukaanza na tetea ili jogoo wa jirani afanye kazi yake kwako. Nm aliamua kumla yule jogoo baada ya kugundua kuwa anamlisha bure na faida wanapata wengine !!!!!!
 
Babu Kubwa!! big Up Kaka!! and Agrees to Atukuzwe!! waswahili tuna tabu, mtu kajitolea kuchangia mawazo na sidhani kama ameamrisha kwamba watu waanze speedy!! ametoa wazo with great wisdom, lakini bado watu wanataka kumchallenge mbona hujaweka hiki mbona hujasema kile!!! gharama tunataka atufanyie calculation, wewe uliye dar na yule aliye nachingwea bei ya mbao ni moja?!?!!? tuache kubweteka wandungu kwa kutaka kufanyiwa kila kitu, chunguza mwenyewe gharama za vitu vilivyotaja ukiona inalipa anza kuchangamsha damu!!! kama unamawazo ya kufanya hivyo na unaona hajafafanua wasiliana nae ama uliza kwa ustaarabu kile unachoona hakijafafanuliwa! kama anaweza kukusadia atakusaidia!! na kama hawezi tafuta kwengine. lakini sisi tunachokijua ni kuweka ma comment ya ajabu ajabu instead of being greatfull for his donation!! sasa je kwa wengine wenye idea mzuri wanaziweka hapa kama mambo yenyewe ndio hivi?? yule mwanamuziki mvuta bangi (bob) alisema WISDOM IS BETTER THAN SILVER AND GOLD) wengine hii imetuingia kulia na kuchomoka kushoto tunaendelea kubweka na one day YES!
 
Mkuu mi ningependa kukupa shukran kwan na mim nipo njian kufanya mchakato huo lkn naomba unisaidie au wadau mnisaidie ni wapi ntapata elim zaidi juu ya huu mradi hasa vipimo vya mabanda yao vi2 muhimu vinavyohitatika kwenye banda,vyakula ambavyo ni best vyenye matokeo mazuri,muda muafaka wa tiba/chanjo hata kam hawajapatwa na ugonjwa kwa tahathari,eneo na hali ya hewa kwa aina ya kuku,ratiba ya marisho yake, magonjwa na tiba zake na mengineyo muhim kuyafaham kam mfugaji.

Kuhusu eneo lipo kubwa sana kama zaidi ya milima 2 maji kuna mtokaribu na material za kujengea ni za kumwaga kwan kuna miti mingi,matofari,mbao,na mawe.Hapa kwenye ujenzi nahitaji zaidi utaalam wakujenga.
Ningeshukuru sana kama nitazipata hizo dvd au vitabu vyenye elim hii ya ufugaji kwani nampango wa kuigeuza hiyo misitu na mapori kuwa kijiji cha ufugaji.
Naomba sana msaada wenu.
Nimekubali kurudi bush kufuga nataka kuachana na huu upuuzi wa kutumikishwa na wahindi na kuishiwa kuzalilishwa na kutukanwa.
 
Mimi nina vifaranga vya kuku wa kienyeji wa siku 30 na kuendelea nauza Tshs 2,500 kimoja kuna matetea na vijogoo nakuletea hadi bandani kwako kwa wanaoishi Dar, nipigie 0717498932.
 
kiongozi big up kwa mawazo mazur ya kujenga kuhusu siko la kuku hilo alina mjadara
kuwa kuku wa kienyeji wanasoka sana bt mimi nimekuwa intrest sana na hao kuku
wa mbeya ambao kiasir wanapatikana malaw lakini was was wangu je hali ya hewa
aiwez ikawa kikwazo kwa hapa dar? coz mbeya barid sana
pili standard ya kuanza kufuga ni kuku wa umri gani? mean vifaranga kabisa
je vinapatikana wap iv vya mbeya
 
kiongozi big up kwa mawazo mazur ya kujenga kuhusu siko la kuku hilo alina mjadara
kuwa kuku wa kienyeji wanasoka sana bt mimi nimekuwa intrest sana na hao kuku
wa mbeya ambao kiasir wanapatikana malaw lakini was was wangu je hali ya hewa
aiwez ikawa kikwazo kwa hapa dar? coz mbeya barid sana
pili standard ya kuanza kufuga ni kuku wa umri gani? mean vifaranga kabisa
je vinapatikana wap iv vya mbeya

Nitarudi mkuu, nimeiona wakati najiandaa kuondoka!
 
Ndugu wana JF, ninataka kufanya biashara ya kuku wa kienyeji, ila kwa kuanza kuanunua mikoani na kuwaleta Dar, naomba msaada je ni mkoa/mikoa gani ninaweza kupata kuku kiurahisi kuanzia bei mpaka kusafirisha kuleta Dar.
 
ngoja tusubiri wataalam waje watujulishe maana hata mimi nataka nifanye biashara hii, singida kuna kuku wazuri kwa bei nzuri
 
Kuku wa kienyeji ni biashara nzuri .kuku wapo anza na Morogoro Gairo wanalo soko lao hapo mjini unaweza kununua hapo Bei ni kati ya sh 7000 hadi sh10000 majogoo
ILA uwe makini na msimu wa magonjwa kama kideri
 
acha biashara hiyo itakupa hela mbuzi ndugu yangu.....usilenge kimo cha chini.....
Hizi ndo biashara za kufanya.....angalia video hiyo.

Les Brown - Prosperity Central Opportunity

Sasa kila mtu akiacha biashara yake akafuata biashara yenu ya milele living itakuwaje,ni vizuri kuvutia biashara yako bila kushusha hadhi ya biashara ya wengine.Ni ushauri tu ndugu yangu.
 
acha biashara hiyo itakupa hela mbuzi ndugu yangu.....usilenge kimo cha chini.....
Hizi ndo biashara za kufanya.....angalia video hiyo.

les brown - prosperity central opportunity

mkuu naona unahubili kuuza vipodozi vya wazungu hapa, nitajie wafanya biashara kwenye oroza ya wafanyabiashara wakubwa wa dunia ane fanya hii business.

Kawadanganye wakina mama make wanawake mnawakamata sana mkisha wawekea ile mikanda ya story za kutunga za kwamba huyu alikuwa mshona nguo na sasa anamiliki vogu na kazalika.

Mimi nazani hata biashara ya kushona nguo ni biashara but mnapo taka watu kuacha kila aina ya biashara na kuja kuuza madawa yenu hapo ndo nakuwa c waelewi
 
Ellie,
Ni wazo zuri sana, kwani hata Senior manager anachokuambia ni sawa lakini kwa mazingira ya kwetu ambapo internet ni shida na zaidi haya makampuni yanayofanya HOME BASED BUSINESSES yako USA na nchi nyingi za ulaya. Na utakapotaka kujiunga watataka utoe kiasi fulani kwa ajili ya registration na mbaya zaidi sometimes they do conduct workshop/training through internet and assumming that most of the people engage in such business are living in USA.
USHAURI WANGU; Endeleza hilo wazo lako, kwani tayari umeonyesha nia ya kufanya hiyo biashara na naamini utakuwa umezingatia yafuatayo kabla ya kuanza biashara rasmi;
1. je mtaji wa kuanzia
2. je soko lako, wapi na wakina nani utakuwa unawauzia na wapi? na je uwezo wao wa kununua kuku wangapi? na kwa bei gani?
3. gharama ya usafiri toka unakowanunua mpaka kwenye soko
4. je, utaweza kununua kuku wangapi mara moja na je wapo supplier wa kutosha?

Mimi nakutia moyo, nenda kafanye hiyo biashara ya kuku kama utazingatia hayo mambo pamoja na mengineyo ya msingi ili uweze kuwa na tahadhari.
All the best.
 
Ellie,
Ni wazo zuri sana, kwani hata Senior manager anachokuambia ni sawa lakini kwa mazingira ya kwetu ambapo internet ni shida na zaidi haya makampuni yanayofanya HOME BASED BUSINESSES yako USA na nchi nyingi za ulaya. Na utakapotaka kujiunga watataka utoe kiasi fulani kwa ajili ya registration na mbaya zaidi sometimes they do conduct workshop/training through internet and assumming that most of the people engage in such business are living in USA.
USHAURI WANGU; Endeleza hilo wazo lako, kwani tayari umeonyesha nia ya kufanya hiyo biashara na naamini utakuwa umezingatia yafuatayo kabla ya kuanza biashara rasmi;
1. je mtaji wa kuanzia
2. je soko lako, wapi na wakina nani utakuwa unawauzia na wapi? na je uwezo wao wa kununua kuku wangapi? na kwa bei gani?
3. gharama ya usafiri toka unakowanunua mpaka kwenye soko
4. je, utaweza kununua kuku wangapi mara moja na je wapo supplier wa kutosha?

Mimi nakutia moyo, nenda kafanye hiyo biashara ya kuku kama utazingatia hayo mambo pamoja na mengineyo ya msingi ili uweze kuwa na tahadhari.
All the best.
Asante sana ndugu yangu kwa ushauri wako mzuri, hayo yote uliyo niambia ni mambo ya msingi ambayo ninayazingatia na pia baadhi naendelea kuyapatia information za kutosha, ikiwemo humu ndani ya JF .Ningeomba kujuzwa mikoa ambayo nitawapata hao kuku kwa bei nzuri kwani mimi nia na madhumuni ni kutaka kuwa na supply hapa jijini kwa mahoteli pia na watu binafsi, nataka kuanza na kuuza kwa rejareja na pia kuwa nafanya delivery kwa wateja wa jumla pia, so i want to get started within this November coz nipo kwenye final stages.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom