sensa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 397
- 22
Ndugu mtoa mada pongezi kwa mchanganuo mzuri wa biashara. Lakini naomba nikupe ushauri mdogo tu ya kwamba usithubutu hata siku mmoja kutoa mchango wako kwa kuanza kubeza kazi za wenzio.....kama ulivosema vitabu na dvd wanatoa story zao za utajiri.Inaonyesha hicho kitu bado unahitaji muda kukiangalia mara ya pili ukaelewa kwani mie ni mpezi wa kusoma hivyo vitabu na hizo dvd na maisha yangu kiukweli yanabadilika.Naomba nisisitize kwamba kama waandishi wengi wa vitabu vya mafanikio wanapoasisitiza IMANI ndio msingi mkuu,pigia vizuri mstari hilo neno manake ndio ukweli wa mafanikio..pia usitegemee miujiza bali jifunze imani gani na unaiapply vipi.
katika biashara yoyote changamoto zipo na unaweza kuzishinda kama sio mtu wa kukata tamaa...unachotakiwa kujua ni kwamba kwa kujua mbinu sahihi zaidi utaweza fanikiwa.Majanga(risk) zipo sana tu hazikwepeki la msingi unafanya nini kuzipunguza au unapokutana na changamoto unafanya nini? unatafuta jibu ama unaenda kupiga kelele mtaani waliniambia hivi mara vile mara sio hivyo.KILA KITU KINAWEZEKANA UAMINIPO NA KUTENDA YALE SAHIHI ILI UPATE MATOKEO MAZURI...BILA KUSAHAU BORESHA MBINU NA UELEWA WAKO KILA SIKU.
katika biashara yoyote changamoto zipo na unaweza kuzishinda kama sio mtu wa kukata tamaa...unachotakiwa kujua ni kwamba kwa kujua mbinu sahihi zaidi utaweza fanikiwa.Majanga(risk) zipo sana tu hazikwepeki la msingi unafanya nini kuzipunguza au unapokutana na changamoto unafanya nini? unatafuta jibu ama unaenda kupiga kelele mtaani waliniambia hivi mara vile mara sio hivyo.KILA KITU KINAWEZEKANA UAMINIPO NA KUTENDA YALE SAHIHI ILI UPATE MATOKEO MAZURI...BILA KUSAHAU BORESHA MBINU NA UELEWA WAKO KILA SIKU.