Hebu cheki hiyo PDF nafikiri itafunguka bila matatizo.
Mkuu Elnino na wote mnaotutamanisha,ni bora basi mkatufungua macho na kuhusu ups and downs za hii project.

Nasikiaga "kama sio uswahili" wafugaji wanalalamika kuwa kuku wamekufa, wameibiwa au sijui dawa zimezidi wamekufa etc -haya nadhani ndio yaliyomfanya muanzisha thhread kuanza na kajogoo 1 badala ya "kuku jike"
 
Jamani asante sana kwa maelezo yenu, mie sina uzoefu na hao layers nimeshukuru sana, na naweza kujaribu kidogo kwa kuanzia,
Swali langu je hao wa kienyeji hakuna vifaranga? pia kuna watu wanasema Ruvu JKT wanawauza ila sina contact na sijapata muda wa kwenda huko, kuna yoyote anayejua hili?
 
Jamani asante sana kwa maelezo yenu, mie sina uzoefu na hao layers nimeshukuru sana, na naweza kujaribu kidogo kwa kuanzia,
Swali langu je hao wa kienyeji hakuna vifaranga? pia kuna watu wanasema Ruvu JKT wanawauza ila sina contact na sijapata muda wa kwenda huko, kuna yoyote anayejua hili?
Hata mimi nimesikia toka kwa mtu wa kuaminika. Ni-pm ili nikupe namba zake akuelekeze,si vizuri kuweka hapa simu ya jamaa,ata-mind kidogo. Wazo la pili ni kununua incubator yako mwenyewe ndogo ili utotoleshe mwenyewe.
 
Mkuu asante sana, nitapm sasa hivi, maana hii ya kungoja kuku sijui wawili wakue naona inachukua muda sana na ukiangalia mortality yao hadi kufikia kuku walau mia itachukua muda sana, na wazo la incubator zuri zaidi.

Hata mimi nimesikia toka kwa mtu wa kuaminika. Ni-pm ili nikupe namba zake akuelekeze,si vizuri kuweka hapa simu ya jamaa,ata-mind kidogo. Wazo la pili ni kununua incubator yako mwenyewe ndogo ili utotoleshe mwenyewe.
 
Jamani asante sana kwa maelezo yenu, mie sina uzoefu na hao layers nimeshukuru sana, na naweza kujaribu kidogo kwa kuanzia,
Swali langu je hao wa kienyeji hakuna vifaranga? pia kuna watu wanasema Ruvu JKT wanawauza ila sina contact na sijapata muda wa kwenda huko, kuna yoyote anayejua hili?

Tatizo wana Jamii wengi hawajawahi hata kufuga kuku hata mmoja enzi za utoto wao, sasa inakuwa taabu kweli kweli kuwasaidia mawazo how to go about it.

Mama Joe wala usihangaike kwenda Ruvu kutafuta vifaranga wa kienyeji - kama kweli umeamua kufuga kuku kwa nini usianze na majike 30 na majogoo 3 tu - bei ya hao ukiwapata toka mkoani itakugharimu sh 6,000 kila mmoja Jumla inakuwa 198,000/- Tshs.

Baada ya siku 60 hayo majike yatakuwa na vitoto average 10 kila mmoja = utakuwa na vifaranga 300. Utawanyan'ganya mama zao na kuviweka chumba chenye joto linalotakiwa na utawapa chakula na maji.

Utawaruhusu majongoo yaanze kazi yao immediately baada ya kuwanyanganya vifaranga, then after 2 months hao wanataga tena -- Simple circle!! - after 2 year's utakuwa na hao kuku zaidi ya 1000 unaowataka.
 
Tatizo wana Jamii wengi hawajawahi hata kufuga kuku hata mmoja enzi za utoto wao, sasa inakuwa taabu kweli kweli kuwasaidia mawazo how to go about it.

Mama Joe wala usihangaike kwenda Ruvu kutafuta vifaranga wa kienyeji - kama kweli umeamua kufuga kuku kwa nini usianze na majike 30 na majogoo 3 tu - bei ya hao ukiwapata toka mkoani itakugharimu sh 6,000 kila mmoja Jumla inakuwa 198,000/- Tshs.

Baada ya siku 60 hayo majike yatakuwa na vitoto average 10 kila mmoja = utakuwa na vifaranga 300. Utawanyan'ganya mama zao na kuviweka chumba chenye joto linalotakiwa na utawapa chakula na maji.

Utawaruhusu majongoo yaanze kazi yao after 2 months tena wanataga -- Simple circle!! - after 2 year's utakuwa na hao kuku zaidi ya 1000 unaowataka.
Asante Elnino kwa kutuhabarisha, unajua kweli kitu usichokijua utawaza vile tulivyofanya majumbani kizamani wale wa kwenda kuchakura chakula chao, sasa kwa level ya shambani unawaza inakuwaje upate wengi wa kuanzia, kumbe mikoani? maana majike ya huku Dar au Pwani mpaka anauzwa keshachoaka kutaga ambao nilaiwaza hawafai. Basi nitaangalia huu ushauri pia.
 
Mkuu Elnino na wote mnaotutamanisha,ni bora basi mkatufungua macho na kuhusu ups and downs za hii project.
Nasikiaga "kama sio uswahili" wafugaji wanalalamika kuwa kuku wamekufa,wameibiwa au sijui dawa zimezidi wamekufa etc -haya nadhani ndio yaliyomfanya muanzisha thhread kuanza na kajogoo 1 badala ya "kuku jike"

Ha ha ha - jamaa aliyeazisha hii thread ameleta utani -huwezi fuga kuku ukaanza na jogoo kawaida ukitaka kufuga unaanza hata na jike moja tu jogoo wa jirani atafanya kazi then huyu kuku atataga.

Kuibiwa si tatizo lazima unapofugia kuwa na banda na ulinzi wa kawaida. Kuhusu kuugua hilo si jambo la kutisha kichachotakiwa ni uangalifu wa kutosha.
 
Wandugu salaam,

Wapi nitapataa mbegu nzuzi za kuku wa kienyeji, hasa wakiwa chotara wanaotoa nyama ya kunona na mayai mazuri na mengi.

Asante.
 
Waweza pata jogoo mzuri kwa ajili ya mbegu lakini mpwa kama unataka mbegu zake kwa kweli sijui zinapatika wapi wala sijawahi kuziona!! labda mayai lakini mbegu!!! Mmhh sijui.
 
Waweza pata jogoo mzuri kwa ajili ya mbegu lakini mpwa kama unataka mbegu zake kwa kweli sijui zinapatika wapi wala sijawahi kuziona!! labda mayai lakini mbegu!!! mmhh sijui

Jamaa ana maana ya jogoo na matetea ili anunue kisha wazaliane. Mikuku mingi huku mjini siku hizi sio original, nenda vijiji ndio utapata kuku wa kienyeji original.
 
Hao wa Ruvu ni wa kienyeji au cross breed?
Kwa mujibu wa maelezo waliyonipa pale nanenane walisema ni wa kienyeji ila wao hutaga tu mayai hawaatamii. Ila mayai yao hutotolewa. Kwa msingi huo inawezekana kuna uchotarishaji unafaanyika.
 
Kwa mujibu wa maelezo waliyonipa pale nanenane walisema ni wa kienyeji ila wao hutaga tu mayai hawaatamii. Ila mayai yao hutotolewa. Kwa msingi huo inawezekana kuna uchotarishaji unafaanyika.

Nina rafiki yangu naye alikwenda Ruvu kuwanunua na akarudi na maelezo haya uliyosema, nitamwomba anipe simu ya mhusika pale Ruvu ili anipe detail. Nitarudi jamvini nikipata maelezo.
 
@elli..Umenifanya nacheka mwenyewe kwa jinsi ulivyomjibu jamaa anaetaka mbegu za kuku. Wengine hapa ni watabiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom