Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Waafrika habarini za saizi tena kwa mara nyingine tena twamshukuru mungu mwenyezi mjaza neema ndogondogo na kubwa nene na nyembamba fupi na ndefu kwa uhai wake kukupa nafasi tena kuwepo jamvini humu...yafuatayo ni mazungumzo ya mh rais wa rwanda paul kagame kuhusu ufisadi wa viongozi wetu baran afrika
kwa mujibu wa shirika la transaparency international tawi la afrika masharki linasema rwanda ni nchi inayoongoza kwa mfano wa kuigwa katika mapambano dhidi ya ufisadi na rushwa ....ni ka ncho kadogo ambacho 1994 ilipata matatizo makubwa sana ya kukumbwa na mauwaji ya kimbari yaliyosababisha watu karibu milion moja na zaidi kufa ;kwa mujibu wa ripoti hiyo iitwayo teh east african bribery index 2010 linaonyesha nchi ya burundi kama mzizi unaoongoza kwa mlungula ktk ukand wa afrika mashariki.....ikiponzwa kwa mamlaka yake ya kukusanya kodi ambayo imeongoza kwa kudai rushwa ktk kundi la jumuia ya afrika mashariki
burundi imechukua nafasi ya kenya kwa 36.7% na kufuatiwa na kenya 31.5% uganda 33% tanzania 28% na rwanda 6.6% kiwango kidogo sana kulinganisha na nchi jiran
kwa nini kiwango cha rushwa rwanda kidogo??
inaelezwa ni kutokana na sheria za serikali ya kagame kali za kupambana na vitendo vya rushwa miongoni mwa viongozi wake...kagame amekuwa mfano wa kuigwa kwa viongozi kwa nchi za kiafrika ambapo serikali imekuwa makini hasa katika kuwatumikiawananchi kwenye huduma za jamii baada ya kuharibiwa na vita
rais kagame anakiri binafsi rushwa na ufisadi ni vita kali dhidi ya uongozi wa bara la afrika na ina garama kubwa sana kisiasa na ni hatari kwa usalama wa maisha ya viongozi wengi ktk nchi za afrika....akieleza sababu kubwa watu wanaohusika na ufisadi mkubwa wana mahusiano makubwa na maraisi wa afrika na hiyo ni sababu inayochangia vita kuwa ngumu
kaamaa kiongozi mkuu ni lazima ifike sehemu ufanye maamuzi magumu kuwachukulia hatua za kisheria wenzako wanaojihusisha na ufisaadi ama rushwa ili uwe shujaa kwa wananchi wako na nchi yako kwa ujumla.. Au waendelee kushiriki vitendo hivyo ukiwa madarakani ili upate unafuu wa kisiasa na usishirikiane nao kwenye uongozi anasema rais kagame
tangu niwe rais sijasikia mtu anasifia rushwa ama ufisadi lakini cha ajabu viongozi wa afirka wengi wanakabiliwa na ufisadi ama waoa ama marafiki waliokaribu nao na sijawahi kusikia hata siku moja mtu anawekwa ndani ama kulipa arama za uchafu aliofanya kutoka kwa viongozi wenzangu...na hili limewafanya hata mawaziri wa afrika sasa kujilimbikiza pesa kama awafi kesho na hivyo kusahau majukumu yao ni kuwatumikia wananchi
rais kagame alitamka haya hivi majuzi wakati akiwa na viongozi wa eacyo a drc waliomtembelea kuhudhuria maazimisho ya miaka 17 ya mauwaji ya kimbari
alisema pamoja na hatari iliopo ktk mapambano dhidi ya rushwa yeye kama kiongozi mkuu wa nchi ameamua kujitolea maisha yake kupambana na watu wote waliomdarakani wanaojishuugulisha na rushwa na kwamba hatokubali hata siku moja viongozi wake wajibufaishe kwa pesa za wananchi
nasema siwezi kuwacha viongozi wajinufaishe kwa pesa za wanachi wangu ambao ni maskini hata siku moja...mimi siogopi kufa nimemwachia mungu maisha yangu na hili ndilo tatizo kubwa la viongozi wa afrika kuwaachia maisha yao watu wenye fedha zao alisema hon kagame
kwa mujibu wa shirika la transaparency international tawi la afrika masharki linasema rwanda ni nchi inayoongoza kwa mfano wa kuigwa katika mapambano dhidi ya ufisadi na rushwa ....ni ka ncho kadogo ambacho 1994 ilipata matatizo makubwa sana ya kukumbwa na mauwaji ya kimbari yaliyosababisha watu karibu milion moja na zaidi kufa ;kwa mujibu wa ripoti hiyo iitwayo teh east african bribery index 2010 linaonyesha nchi ya burundi kama mzizi unaoongoza kwa mlungula ktk ukand wa afrika mashariki.....ikiponzwa kwa mamlaka yake ya kukusanya kodi ambayo imeongoza kwa kudai rushwa ktk kundi la jumuia ya afrika mashariki
burundi imechukua nafasi ya kenya kwa 36.7% na kufuatiwa na kenya 31.5% uganda 33% tanzania 28% na rwanda 6.6% kiwango kidogo sana kulinganisha na nchi jiran
kwa nini kiwango cha rushwa rwanda kidogo??
inaelezwa ni kutokana na sheria za serikali ya kagame kali za kupambana na vitendo vya rushwa miongoni mwa viongozi wake...kagame amekuwa mfano wa kuigwa kwa viongozi kwa nchi za kiafrika ambapo serikali imekuwa makini hasa katika kuwatumikiawananchi kwenye huduma za jamii baada ya kuharibiwa na vita
rais kagame anakiri binafsi rushwa na ufisadi ni vita kali dhidi ya uongozi wa bara la afrika na ina garama kubwa sana kisiasa na ni hatari kwa usalama wa maisha ya viongozi wengi ktk nchi za afrika....akieleza sababu kubwa watu wanaohusika na ufisadi mkubwa wana mahusiano makubwa na maraisi wa afrika na hiyo ni sababu inayochangia vita kuwa ngumu
kaamaa kiongozi mkuu ni lazima ifike sehemu ufanye maamuzi magumu kuwachukulia hatua za kisheria wenzako wanaojihusisha na ufisaadi ama rushwa ili uwe shujaa kwa wananchi wako na nchi yako kwa ujumla.. Au waendelee kushiriki vitendo hivyo ukiwa madarakani ili upate unafuu wa kisiasa na usishirikiane nao kwenye uongozi anasema rais kagame
tangu niwe rais sijasikia mtu anasifia rushwa ama ufisadi lakini cha ajabu viongozi wa afirka wengi wanakabiliwa na ufisadi ama waoa ama marafiki waliokaribu nao na sijawahi kusikia hata siku moja mtu anawekwa ndani ama kulipa arama za uchafu aliofanya kutoka kwa viongozi wenzangu...na hili limewafanya hata mawaziri wa afrika sasa kujilimbikiza pesa kama awafi kesho na hivyo kusahau majukumu yao ni kuwatumikia wananchi
rais kagame alitamka haya hivi majuzi wakati akiwa na viongozi wa eacyo a drc waliomtembelea kuhudhuria maazimisho ya miaka 17 ya mauwaji ya kimbari
alisema pamoja na hatari iliopo ktk mapambano dhidi ya rushwa yeye kama kiongozi mkuu wa nchi ameamua kujitolea maisha yake kupambana na watu wote waliomdarakani wanaojishuugulisha na rushwa na kwamba hatokubali hata siku moja viongozi wake wajibufaishe kwa pesa za wananchi
nasema siwezi kuwacha viongozi wajinufaishe kwa pesa za wanachi wangu ambao ni maskini hata siku moja...mimi siogopi kufa nimemwachia mungu maisha yangu na hili ndilo tatizo kubwa la viongozi wa afrika kuwaachia maisha yao watu wenye fedha zao alisema hon kagame