Nchi imegawanyika katika makundi mawili: mafisadi wa wazi (Manji, Mgonja, RA, Lowassa, Balali, Rutabanzibwa) ambao wanaiba hela yetu hivi hivi tunawaona na kuna mafisadi wa kimya kimya ambao kwasababu hawako jikoni kwenye hela wanafanya ufisadi wa namna nyingine kama vile ugoni na ushirikina (hapa namhusisha Slaa, Mbowe, Liumba, Zito (Amina Chifupa saga), Reginald Mengi, Sheikh Khalifa). Tatizo la kundi hili la pili ni unafki jambo ambalo ni baya kuliko sisi mafisadi wa wazi.