Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
duh.. yaani nimefikia 7000? duh I need to take a break.. ndio maana vidole vimevimba!
My Take:
b. C. Mzindakaya alipomsahihisha Dr. Slaa alisema kilichoopotea ni bilioni 131 na ukichukulia inflation si mbali na 133 zilizotangazwa na Ernst and Young. Sasa, kama Mzindakaya aliweza kupata data hizo ndani ya dakika chache, kwanini kuchunguza tena?
I love words.. I sure do.. na hapa bi mdogo umenigusa kumoyo.. yaani hiyo simile yako hapo juu imenifanya ubongo utetemeke kwa furaha.. "kuona moto katikati ya ukungu mzito wa theluji".. it is so oxymoronic..
Nimefurahi sana kuwa hapa unaona kuwa ccm "ndio mhimili mkubwa wa matatizo", halafu kuleeeeee huoni nyerere anahusika vipi, wakati uongozi wa ccm ni hand-picked na nyerere au hufahamu kuwa bwana JK alikwisha chaguliwa na nyerere tokea uhai kuwa ashike awamu ya nne? au huijuwi system ni nini?Kuna wakati huwa nakaribia kukata tamaa ila nikisoma maandishi ya vichwa makini kama hiki basi nafarijika kuwa kuna watanzania wanaweza kuona moto katikati ya ukungu mzito wa theluji.
CCM ndio mhimili mkubwa wa matatizo yote hapa. Wabunge wa CCM wapo tu kama hawapo na wengi wao wamelala usingizi pono kama vile hawajui kinachoendelea. Wanaojaribu kusema kidogo wanaitwa kwenye vikao vya chama na mzee wa kasungura na ndege ya kupaa ya richmonduli na kufungwa midomo.
CCM inabidi waondolewe na wajengewe gereza lao la kiguantanamo kule ukara katikati ya ziwa victoria ili mzimu huu ututoke. Kama vijana nao (kina Lugaza) wameanza kuingia kwa kasi katika hii list ya kifisadi? kama watoto wa mafisadi Ridhiwani na January nao sasa ni part ya serikali hii ya kifisadi? Kama watoto wa wakubwa ndio wanajazwa BOT kulinda siri za kifisadi? Hii nchi inabidi kitu kikubwa sana kifanyike kuvunja hii circle.
Nimefurahi sana kuwa hapa unaona kuwa ccm "ndio mhimili mkubwa wa matatizo", halafu kuleeeeee huoni nyerere anahusika vipi, wakati uongozi wa ccm ni hand-picked na nyerere au hufahamu kuwa bwana JK alikwisha chaguliwa na nyerere tokea uhai kuwa ashike awamu ya nne? au huijuwi system ni nini?
I read something similar in this week's Raia Mwema. It is an article by Lula wa-Ndali...
Mzindakaya alifungua kiwanda kikubwa cha ku-process nyama huko Rukwa. JK alishiriki katika kukizindua na kumsifia ujasiariamali wake. Mkopo wa kufungua kiwanda hiki ulidhaminiwa na BOT. Isije ikawa ni hizi pesa zinazoongelewa hapa. Link hii inahitaji kufatiliwa.
Tafakuri butu -ve kama hii ktk jamii hii yetu ya Taifa Changa kama hili lenye Umri wa Miaka arobaini na ushee ni hatari kua na watu kama wewe.Jamani,
Wiki hii nimekaa sana nimetafakari, nimegundua kwamba karibu viongozi wetu wote ni mafisadi. Viongozi wakuu wametajwa kwenye JK eleven. Na karibu kila anayeteuliwa unakuta naye ana ufisadi wake. Hivi ni kiongozi gani wa serikali ya sasa na taasisi zake ambaye sio fisadi? Sasa kama ugonjwa wa ufisadi umesambaa kiasi hiki kwa nini tusiache tu mafisadi wote wajifie wazaliwe watanzania wengine wachache? Hivi hii si ishara kwamba wananachi watanzania waliowengi ni mafisadi ndio maana ufisadi ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku? Sasa kama sisi tumeshindwa kuacha ufisadi kwa nini tuwatake viongozi waache ufisadi? Hivi kwani tukaiacha tu nchi ikawa taifa la mafisadi kwani tutapata hasara gani? Si kila mtu atanufaika na ufisadi wa mahali pake? au dawa ni kukiondoa tu Chama Cha Mafisadi(CCM)?
Asha
Mimi sioni ubaya wa yeye kuchukua mkopo mkubwa kwa kuwa kwanza ni njia halali na pia ukumbuke kuwa ni njia ya kuwasaidia na wananchi wengine mbao kwa uwekezaji wake wamepata ajira na zaidi ya yote wananchi wamepata elimu ya ufugaji wa kisasa kwa vitendo.Nadhani tatizo ni wale viongozi kama Sani Abacha,Mobutu na wengineo ambao wanaiba na kwenda kuwekeza ktk mabenki ya nje.Winzi wa Mzindakaya ni sustainable.