Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,191
- Thread starter
- #81
Marais Nane sherehe ya miaka 50 katika dimbwi la kashfa za UFISADI zaidi ya 8 zilizotikisha misingi ya maendeleo katika nchi yetu ni aibu hakuna mfano wake!!
The way nilivyo na negative attitude na CCM naona kila mwanaccm ni feki tu!
The way nilivyo na negative attitude na CCM naona kila mwanaccm ni feki tu!
Ushauri mwingine ni vichekesho kweli. Hivi mtu anategemea kuwa JK atamsikiliza na kujiuzulu.
Nyege zinakusumbua wewe tafuta mwenza ukalalwe then utaacha kufikiri kwa kutumia makalio na kuota ndoto za alinacha na alinanuswe!!RAIS KIKWETE NA MJUMBE WA NEC CCM TAIFA EDWARD LOWASSA SASA NI WAKATI MWAFAKA MJIUZULU MARA MOJA KUPISHA UCHUNGUZI WA TUME HURU KUWATATISHENI MAJINA MBELE YA UMMA NA JUMUIYA YA KIMATAIFA:spy:
Kufuatia sakata la ufisadi juu ya ufisadi katika serikali hii ya awamu ya nne na viongozi kuzidi kutupiana mpira bila matokeo yoyote ya kubadilisha sura ya mambo, wananchi sasa tunasema kwa sauti kuu; Rais Kikwete na Lowassa mjiuzulu sasa hivi nyadhifa zote kupisha uchunguzi wa kujitegemea ili kutakasha majina yenu mbele ya umma.
Wananchi tunayo haki ya kuhoji vitendo vyenu, tunayo haki ya kujua kwa kina kitu gani kinaendelea ndani ya uongozi wetu kiserikali na vyama vyao vinavyowafadhilini nyinyi kushika nyadhifa hizo.
Ndio, nasema wananchi sasa tunataka majibu ya ki-uchunguzi juu ya Richmond, Dowans, Meremeta, IPTL na nyinginezo ili sote tupate kuanza upya katika ukurasa mpya kama taifa. Ndio,pale ambapo vyama vinavyowafadhilini kushika nyadhifa za umma zinaposhindwa kutolea maamuzi mambo nyeti na kero kubwa kama haya kwa taifa maana yake ni kwamba sasa maamuzi lazima yapatikane toka nje ya hicho chama fadhili.
Na hiyo ndi sababu sasa umma wa Tanzania kwa ujumla wetu tumeamua kuwaombeni kupisha uchunguzi ufanyike haraka.
Nasema hizi kelele mnazoendelea kutupigia makanisani, misikitini, na kwenye vikao vyenu vya maswahiba kuuziana chai wala hazitusaidi kupunguza ukali wa maisha ambamo vitendo vya rushwa vimetufikisha kama taifa hadi dakika hii.
Kama hamnielewi bado nasema hivi, Jogoo akijinyea mwili mzima bandani hata siku moja kamwe hapati tu kutakata eti kwa kuzidisha sana kasi ya kuwika na kuwika kila mahala akitangaza utakatifu wake huo.
Rais Kikwete, Lowassa na wengine wenye shutuma kama hizi za rushwa chonde mtusamehe na hizi siasa uchwara, Wa-Tanzania hivi sasa TUNADAI MAJIBU kwa haraka na kina zaidi. Endapo mlikua bado hamjui, uvumilivu wote sasa umeanza kutushinda na kweli Wa-Tanzania sasa tumechoka visivyo kifani na hizi 'bembeleza mwana' zenu hizi juu ya dhamira zenu kushughulikia rushwa nchini.
Ni wazi tena mkumbuke ya kwamba mambo haya yote yamekua yakiendelea huku wananchi tukiendelea kuumia zaidi na zaidi kwa gharama ya maisha inaendelea kupanda ajabu, watoto kufa bila dawa hospitalini, vijana hatuna ajira, shughuli za ukulima mashambani yamekwama na haki kutoweka ofisi za umma kutokana vitendo vya rushwa mnazoshutumiwa nazo nyinyi hapo. Kwa nini muendelee kushikilia nyadhifa za umma wakati kila kona kuna kilio??
Kwa kuwa hata na nyinyi hatupendi kamwe muonewe kutokana na vitendo vya rushwa ambavyo pengine hamkuzifanya, basi ndio maana tunawaelekezeni kwamba njia ya kistaarabu ni kujiweka kando na nyadhifa zote za umma hadi hivi sasa ili uchunguzi wa kina upite na baadaye historia ikawaamueni vizuri na kwa haki zaidi.
Ndio, kufuatia sakata la ufisadi kila kona nchini bila ya wananchi kupewa majibu ya kuridhisha juu ya kila tukio, kupuuzwa kwetu sana, watu kurushiana mipira kusikoisha juu ya hili saratani linalorudisha nyuma maendeleo, na hata vikao rasmi vya baadhi ya vyama vikongwe nchini kushindwa kutolea jibu KERO HILI KUBWA KITAIFA, wananchi sasa tunasema Rais Kikwete na Waziri Mkuu uliyejiuzulu kwa kashfa hizi hizi za rusha sasa mjiuzulu nyadhifa zote kupisha uchunguzi wa kina juu ya mambo haya yote na kuweka wazi kodi zetu zilipo.
Kwa kuhitimisha hoja yangu hii hapa, napenda kusema nafasi zote za umma watu huzishika kutokana na ridhaa na imani kubwa ambayo wananchi wanao kwa viongozi wao. Kwa kusema kweli hadi sasa wananchi hatuna imani kwenu tena mpaka siku tume huru itakapotupa sababu za kina za kutufanya kurejesha tena matumaini, heshima na imani kuendeleaa kutuongoza tena.
Hebu fanyeni hima juu ya hili kabla taifa nzima hatujalazimika kutumia silaha yetu ya mwisho ya maandamano dhidi yenu mpaka kieleweke. Penye ustaarabu wananchi hatutosita kurudisha ustaarabu hata kama shutuma dhidi yako ni nyekundu kama damu, na kinyume chake pia ni kweli tena bila ajizi.:spy:
Mh Samweli Sitta ameyasema hayo wakati wa harambee ya ujenzi wa kanisa la Mt.
Teresia jimbo kuu katoliki Arusha. Amesema kuwa Mh Nyalandu na Mh Lema ni vijana ambao taifa linawahitaji na wao kama wazee wameshaanza kuwaridhisha uongozi wakiwa na matumaini makubwa kuwa watatufikisha kwenye nchi ambayo baba wa taifa alitamani tufike!
Nawasilisha
***************************************
SOURCE: TANZANIA DAIMA
DATE: DECEMBER 08, 2011 (Today)
PAGE: FRONT PAGE
SUBHEADINGS: Wahofia kuvunjika amani, Washangazwa na Uamuzi wa Bunge, Wasema Nyerere amesahaulika
***************************************
Kanisa Katoliki nchini (TEC) limeshtushwa na hatua ya Rais Jakaya Kikwete kusaini Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011, harakharaka kwa kuwa kunaweza kuipeleka nchi pabaya.
Akizungumza jijini juzi na TANZANIA DAIMA muda mfupi baada ya kumalizika kwa hafla ya uzinduzi wa kitabu cha miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara, kilichoandikwa na John Kasembo, Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Askofu Mkuuu Jude Thadaeus Ruwa'Ichi alisema Watanzania wengi walitaka muswada huo usisaniwe, na kwamba mkuu huyo wa nchi alipaswa kusikiliza mawazo ya wananchi wake, na si kuwahi kusaini na kuwa sheria, Rais huyo wa TEC alisema kitendo cha Serikali kukusanya maoni mikoa ya Dodoma, Dar-Es-Salaam na Zanzibar peke yake, haitoshi kujenga hoja ya kusaini ama kupitisha muswada huo wa Katiba.
Askofu Ruwa'Ichi alisema suala la kuundwa kwa Katiba mpya si hiari ya Rais wala kikundi na tabaka Fulani bali ni la watanzania wote.
Rais huyo wa TEC ambaye pia ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mwanza alisema hatua ya kulipeleka suala la Katiba mbindembinde linaweza kuipeleka nchi kubaya na Kanisa Katoliki halitaki Watanzania wafike huko.
Alisema walitegemea Kikwete angethamini na kujali maoni ya wadau wengine, lakini katika namna ya ajabu hakuonekana kujali chochote. Ruwa'Ichi ambaye alikuwa miongoni mwa wageni waalikwa katika uzinduzi wa kitabu hicho, alieleza kushangazwa na kitendo cha Bunge kupitisha harakaharaka muswada huo.
"Hivi Bunge linashughulika na maslahi ya nani? Wabunge wamepewa dhamana na wananchi, hivyo ni lazima wawasikilize wanachotaka, halafu ndicho wakifanyie kazi, na si kuonekana kama ushabiki fulani", alisema Askofu Mkuu Ruwa'Ichi.
Alipoulizwa kuhusu suala la udini linaloonekana kutumiwa na baadhi ya wanasiasa nchini, Askofu Ruwa'Ichi alikiri kuwapo kwa jinamizi hilo, na kusema ajenda ya udini kwa sasa imekuwa kama kichaka cha watu Fulani kuficha maovu yao.
Alionya kwamba iwapo serikali itaruhusu mijadala ya dini kutawala nchini, basi taifa lipo hatarinikupoteza ustawi wake, na akataka watu wasitumie mgongo wa dini kuficha madhambi yao.
Katika hatua nyingine, TEC imesema mambo yote mema yaliyotendwa na Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere yametupiliwa mbali, na sasa kila mtu anatenda lolote linaloonekana kuwa na manufaa kwake.
kumbu mhe lowasa alisema mengi nec na kufananisha dhana ya ccm kujivua gamba na kitunguu eti kila hatua ina gamba ukiamua kuvua patabaki patupu kadhalika ccm wakiamua kuvuana gamba habaki mtu