Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
- Thread starter
- #101
Gamba la CCM, vitunguu au si vitunguu, hebu Rais Kikwete na Mhe Lowassa wote wajiuzulu kwanza tukawachunguze kupitia tume huru ya taifa. Tuhuma za ufisadi dhidi ya si tu tuhuma za ki-chama bali ni makosa kwa taifa zima.