Kila kitu chenye mass (hata wewe na mimi) kina gravity yake. Kwa hiyo jua, mwezi, nyota, sayari vyote vina gravity zao.Mkuu hivi dunia inagravity yake? Jua lina gravity yake? Na mwezi pia unagravity yake? If yex kwanini gravity ya jua haiathiri kujaa na kukupwa kwa maji?
Gravity ni nguvu (Force) kati ya (tuseme) dunia (yenye mass M1) na kitu kingine kama mwezi (wenye mass M2). Hii force (F) inategemea na umbali kati yao (tuuite R).
Gravity force F = (GxM1xM2)/Rsquared
G ni gravitational constant
Gravity ya jua ndio inayotufanya tulizunguuke na kuwa na majira tofauti.