neo1
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 577
- 838
Mkuu Kifyatu kwenye kusoma soma kwangu wanasema kwamba kuna aliens ambao tayari tuna uhusiano nao (friend aliens) wanasema zaid kwa miaka 1900 dunia ilikuwa kwenye giza na maarifa yalikuwa kidogo, ila walipata kufika dunian kuanzia 1950 ndo wametupatia knoledge kubwa!, kwa miaka 50 unaweza kuwa shahidi technology ilivyobadilika mpk hapa tulipo...unazungumziaje hizo conspiracy mkuu??