Ufafanuzi kuhusu tunda la mti wa katikati

what about procedure of pumping out sperm for sperm donation? does that include orgasm? (i am not talking about muster b)
Yan apo jibu ni moja tu kitendo cha kuejaculate is where u fl orgasm am a Medical student i know what am talking about uez fanya mapenz bila kufika orgasm kwa mwanaume lakn kwa mwanamke inawezekana kbs
 
Yes, it's possible. Orgasm and ejaculation are two separate processes, so one can occur without the other. However, more often than not, they happen at the same time. Orgasm is the release of sexual tension that has built to a peak -- although intensity can vary with each encounter depending on physical or psychological factors. It includes an increase in heart rate, a surge in blood pressure, involuntary muscle contractions in the genitals and spasms in the arms, legs or other areas of his body. In contrast, ejaculation is the expulsion of semen from the tip of the penis.

Some men who can orgasm without ejaculating have perfected the art of flexing their pubococcygeal (PC) muscle during sex, but before ejaculatory inevitability (the point of no return). This can prevent the fluid from being released. Men can learn to isolate this muscle, which is located in the pelvic area, by stopping urination midstream, and they can strengthen it over time with repeated tightening and releasing exercises.

A guy who orgasms without ejaculating could also be experiencing retrograde ejaculation, which causes the fluid to flow backward into the bladder,rather than forward through the urethral opening, and can be detected by cloudy urine post-ejaculation. While it's most common in men with diabetes,multiple sclerosis or those who have had prostate surgery, it's best to go to a doctor for a proper diagnosis if symptoms occur.

You are wrong mr after or during ejaculation ile raha unayoihisi kwa mwanaume is what we call orgasm they depend on each other mr
 
unaweza furahia mapenzi bila orgasm
Naturally sex was not meant for pleasure, it was only for reproduction, Only human and dolphin among all mammals sex for pleasure and production. why human sex for pleasure and production? ready back the main topic.
 
Au tuseme kwa kiswahil orgasm kwa lugha yetu ii ndo ua tunaita kukojoa sio mkojo lakn au kufika kilele
 
There you go.. watu wengi tumekuwa tukidhani mti wa katikati (wa ujuzi wa mema na mabaya) ni kuhusiana na uzinzi tu, but tupo wrong. Akikujibu ntarudi
Kwel mkuu kama ingekua uzinz wangekulA kwa pamoja lkn kala hawa ndo akampa adam nae akala akusema kua walikula
 
Jamani naomba niweke sawa au niyatofautishe haya mambo matatu
1.Injaculation
2.ejaculation
3.orgasm.
Kwa mawazo ya kawaida wengi huzani kuwa hayo mambo matatu ni sawa .kiukweli au kitaalamu hayo mambo matatu yanatofauti kubwa sana.naomba nitumie mfano wA kupiga punyeto ili niweze kueleweka zaidi.
Wakati mwanaume anapiga punyeto mambo hayo matatu huweza kutokea kama ifustavyo:
1.ejaculation
Hii ni ile hali ambayo mwanaume hupiga punyeto na kumwaga shahawa.hali hii ni ya kawaida.kumbuku kuwA shahawa (semen) ni tofauti nay mbegu(sperm).shahawa ni maji maji tu ambayo hutumika kuzisafirisha mbegu maana mbegu zenyewe kama zenyewe hazina uwezo wa kujisafirisha .
2.injaculation
Hii ni ile hali ambayo mtu anapiga punyeto anafika orgasm lkn shahawa hazitoki.hali hii hutokea mara chache sana japo kitaalam kunanjia unaweza kutumia ili kupata orgasm na kufanya shahawa zisitoke.
3.orgasm ni hile hali ya kurelease sexual attention au hali ya kupoteza hamu ya kufanya mapenzi.hali hii haiambatani na kutoa shahawa.
 
Kwel mkuu kama ingekua uzinz wangekulA kwa pamoja lkn kala hawa ndo akampa adam nae akala akusema kua walikula
Mimi kwa ufahamu wangu kidogo, pale Mungu anapowaambia" kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika " ( mwanzo 2:17). Mungu hakumaanisha kuwa eti watakufa kama tunavyokufa binadamu wa leo. Bali alimaanisha watatoka kwenye ile system ya Kiungu (bustani ya Edeni), watapelekwa kwenye ardhi wakailime. Kwenye system ya Kiungu hawakuwa na upungufu wa kitu chochote, hawakuwa na maarifa ya kujua kuwa kuna mambo mabaya. Hawakuwaza kuwa wale nini, wavae nini au walale wapi etc, Kila kitu kilikuwepo mbele ya macho yao

Before Adam na Eva hawajala lile tunda la ujuzi wa mema na mabaya, Kila kitu kwao kilikuwa ok. Hawakuwahi kuona kuwa wana upungufu wa aina yoyote ile, walikuwa wanaona kuwa kila kitu mbele yao ni chema. Macho yao yalifungwa yasione chochote kibaya

Baada tu ya kula tunda walifunguliwa macho wakajiona wapo uchi. Mwanzo 3:7 "wakafumbuliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wa uchi". (Walijuaje kama wapo uchi, nani aliwaambia)
Kufunguliwa macho ni pale unapoanza kuona matatizo, kusumbuka na mambo ya ulimwengu. Unaanza kuwaza sina hela, ninaumwa, nitakula nini, sina kazi, Ntalala wapi etc.

So kuwa uchi ni hali ya kuanza kujiona huna kitu. Nani amekwambia kuwa wewe ni maskini ( wewe mwenyewe). Watu wenye imani thabiti wanaishi as if everything is ok with them, na wana amani mnoo na maisha yao, ndo maana kuna muda tunaonaga kama wamechanganyikiwa vile. Wao hata kuwe na magumu yapi, utasikia tu " Bwana atatenda". Ila wengi wetu tunajiona tupo uchi ( hatupo kwenye system ya Kiungu), muda wote tunaona tu "uhaba/ matatizo" yetu
 
Aaaaa sasa hii kali!!!!, Eva ndio alikula tunda wa kwanza, inamaana ndiye aliefikia keleleni wa kwanza au? Si mara zote watu wakifika keleleni husababisha mimba ( uumbaji) ina maana mungu hakujua hilo? Na alivyosema na mkaujaze ulimwengu anamanisha nini?
 
Mimi kwa ufahamu wangu kidogo, pale Mungu anapowaambia" kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika " ( mwanzo 2:17). Mungu hakumaanisha kuwa eti watakufa kama tunavyokufa binadamu wa leo. Bali alimaanisha watatoka kwenye ile system ya Kiungu (bustani ya Edeni), watapelekwa kwenye ardhi wakailime. Kwenye system ya Kiungu hawakuwa na upungufu wa kitu chochote, hawakuwa na maarifa ya kujua kuwa kuna mambo mabaya. Hawakuwaza kuwa wale nini, wavae nini au walale wapi etc, Kila kitu kilikuwepo mbele ya macho yao

Before Adam na Eva hawajala lile tunda la ujuzi wa mema na mabaya, Kila kitu kwao kilikuwa ok. Hawakuwahi kuona kuwa wana upungufu wa aina yoyote ile, walikuwa wanaona kuwa kila kitu mbele yao ni chema. Macho yao yalifungwa yasione chochote kibaya

Baada tu ya kula tunda walifunguliwa macho wakajiona wapo uchi. Mwanzo 3:7 "wakafumbuliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wa uchi". (Walijuaje kama wapo uchi, nani aliwaambia)
Kufunguliwa macho ni pale unapoanza kuona matatizo, kusumbuka na mambo ya ulimwengu. Unaanza kuwaza sina hela, ninaumwa, nitakula nini, sina kazi, Ntalala wapi etc.

So kuwa uchi ni hali ya kuanza kujiona huna kitu. Nani amekwambia kuwa wewe ni maskini ( wewe mwenyewe). Watu wenye imani thabiti wanaishi as if everything is ok with them, na wana amani mnoo na maisha yao, ndo maana kuna muda tunaonaga kama wamechanganyikiwa vile. Wao hata kuwe na magumu yapi, utasikia tu " Bwana atatenda". Ila wengi wetu tunajiona tupo uchi ( hatupo kwenye system ya Kiungu), muda wote tunaona tu "uhaba/ matatizo" yetu
Mi sina cha kuongeza...
 
Kama umetumia Rejea ya Biblia si kitabu kingine umekosea..... angalia, baada tu ya kuumbwa wanadamu (Kabla hata ya kula hilo tunda) waliambiwa wazaane yaani Mungu aliwaruhusu kuzaana, we unadhani walizaana kwa kutumia viungo gani?
"Mwanzo 1:28; Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi."

Baadae.....
"Mwanzo 3: 6; Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala."
******
Then angalia... mwanamke anaambiwa anazidishiwa...ina maana hapo kabla ilikuwa uchungu kidogo...
Mwanzo 3:16; Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.....

*******
Hitimisho
Kufanya mapenzi halikuwa tunda, kwakuwa Adamu na Eva walisharuhusiwa kuzaana hata kabla ya kula tunda ina maana walifanya mapenzi .....labda wewe uje na andiko linalosema walitumia njia nyingine kuzaana!!


soma uzi vizuri
 
Mimi kwa ufahamu wangu kidogo, pale Mungu anapowaambia" kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika " ( mwanzo 2:17). Mungu hakumaanisha kuwa eti watakufa kama tunavyokufa binadamu wa leo. Bali alimaanisha watatoka kwenye ile system ya Kiungu (bustani ya Edeni), watapelekwa kwenye ardhi wakailime. Kwenye system ya Kiungu hawakuwa na upungufu wa kitu chochote, hawakuwa na maarifa ya kujua kuwa kuna mambo mabaya. Hawakuwaza kuwa wale nini, wavae nini au walale wapi etc, Kila kitu kilikuwepo mbele ya macho yao

Before Adam na Eva hawajala lile tunda la ujuzi wa mema na mabaya, Kila kitu kwao kilikuwa ok. Hawakuwahi kuona kuwa wana upungufu wa aina yoyote ile, walikuwa wanaona kuwa kila kitu mbele yao ni chema. Macho yao yalifungwa yasione chochote kibaya

Baada tu ya kula tunda walifunguliwa macho wakajiona wapo uchi. Mwanzo 3:7 "wakafumbuliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wa uchi". (Walijuaje kama wapo uchi, nani aliwaambia)
Kufunguliwa macho ni pale unapoanza kuona matatizo, kusumbuka na mambo ya ulimwengu. Unaanza kuwaza sina hela, ninaumwa, nitakula nini, sina kazi, Ntalala wapi etc.

So kuwa uchi ni hali ya kuanza kujiona huna kitu. Nani amekwambia kuwa wewe ni maskini ( wewe mwenyewe). Watu wenye imani thabiti wanaishi as if everything is ok with them, na wana amani mnoo na maisha yao, ndo maana kuna muda tunaonaga kama wamechanganyikiwa vile. Wao hata kuwe na magumu yapi, utasikia tu " Bwana atatenda". Ila wengi wetu tunajiona tupo uchi ( hatupo kwenye system ya Kiungu), muda wote tunaona tu "uhaba/ matatizo" yetu


asante kwa mawazo yako ila bado hujaeleza tunda la mti wa kati ni nn.
pia tunda la mti wa kati limetokana na mti wa kati ambao adam na eva waliruhusiwa kuutumia ila wakakatazwa matunda yake tu ndo wasile.
 
asante kwa mawazo yako ila bado hujaeleza tunda la mti wa kati ni nn.
pia tunda la mti wa kati limetokana na mti wa kati ambao adam na eva waliruhusiwa kuutumia ila wakakatazwa matunda yake tu ndo wasile.
Mmh mti wa katikati ni mti wa ujuzi wa mema na mabaya. Tunda linatokana na mti husika na kwa case yetu hilo tunda, ni tunda la ujuzi wa mema na mabaya. So ukilila tu tunda hilo unaanza kuyaona na yale yaliyo mabaya
 
Hapana unakosea hawakukatazwa kufika kileleni kama unavosema,kumbuka waliambia "wazae wakaijaze dunia" sasa wangewezaje kuzaa bila kufika kileleni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom